fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
huyu jamaa ana maono
Hata mimi naona hivyo, kimsingi kama ni kweli anataka kuwakimbia magamba tunamkaribisha kwa moyo mweupe.
huyu jamaa ana maono
Dah, nahisi hii ni bonge la coincidence yaani! Mwenye Mahaba ya Dhati na CCM, akachanganya na jina la mtoa mada (Mwana Mpotevu), kisha vile mtoa mada alivyo deep kuhusu Filikunjombe, ...sio siri, mwenye mahaba huyu anaweza shuku kwamba Mwana Mpotevu ndiye Filikunjombe mwenyewe!!
ahamie Chadema
haogopi na hana ubabaishaji kwa kile anachokifanya
He dares! Maamuzi magumu ndicho kitu ambacho amekuwa akikifanya.
Huyu jamaa nijasiri sana alimlipua Mbunge mstaafu mbele ya wananchi wakati wa kura za maoni. Waliokuwepo siku iyo wanaweza wakasema vizuri, kifupi Prof.
Mwalyosi aliishiwa nguvu hakuamini macho yako kwani ilikuwa kama sinema.
Mhe, Filikunjombe alimchana live bila chenga na kuwaambia wananchi yuko tayari kufa lakini awe amesema ukweli. Akasema " Sisi wananchi wa Ludewa tunakosa maendeleo kwasababu ya viongozi wabinafsi, Mhe, Prof. Mwalyosi mbunge wetu amehongwa gari na mwekezaji na ndio analolitumia saivi kadi hiii hapa inaonyesha gari la subash pamoja na picha hizi hapa. Wananchi tunakufa kwa kukosa ambulance na hili gari lingeweza kusaidia wagonjwa lakini kwa ubinafsi wa mbunge wetu ameamua kulitumia mwenyewe'' Kifupi jamaa akiwa na hakika ya kile anachosema huwa hana wasiwasi.
Big up Mhe, Filikunjombe Mungu akulinde salama ktk safari hii kwani maadui ni wengi sasa.
Absolutely NO!Is he going to survive the ordeal of being a CCM member and supportive of the working system?
N i mnafiki kama minafiki mingine ya CCM,inayodhani chama chao kitatawala milele!!
Na sasa anajifanya kufurukuta baada ya kuona nguvu ya CDM hashuki!
Hana muda mrefu magamba watamletea mizengwe.
Deo kama kweli unalipa kodi kwa biashara zako kwanini unaogopa kuungana na wanaharakati?
Kinachofuatia kumzima Deo Filikunjombe kama inashindikana kwa njia nyingine basi ni kumpa uwaziri ili ashike adabu, lakini Deo be careful, angalia Mwakiembe.
Deo hata mimi nimemkubali, lakini wasiwasi wangu ni kwamba hawa jamaa wanaweza kum"Mwakyembe"
Sure, his petrol stations are going to closed soon.(MUNGU aepushie mbali, Aamin).