wasichana wengi wanaomaliza vyuo vikuu hawaolewi

katika utafiti niliofanya kwa miaka 2 wasichana wengi wanaosoma hadi vyuo vikuu huwa wankuwa na umri mkubwa , wachambuaji wa wachumba hali ambayo huwafanya wavulana wengi kuwakimbia(kuwapiga chini) hivyo kuishia kupigwa mimba na kuzaa watoto wasio na baba kitu ambacho huwa ni tatizo baadaye .Ili kukabiliana na tatizo hilo wasichana wa vyuo wamegundua mtego wa kuwanasa wanaume hasa wanachuo wenzao ambao ni mimba

research yako haijajitosheleza na sidhani kama ina ukweli ndani yake!
 
wanawake walomaliza chuo wameshatumika sana na si kutumika pekee, wametoa mimba nyingi kitu ambacho ni kibaya zaidi mana utoaji mimba unaweza sababisha mimba nyingine zitoke mfululizo! Na si ajabu akakuzalia taahira muwe makini wenzangu, kutumika si ishu sana ila hili la kutoa mimba mhh, ni bora nioa mtu mwenye mtoto aliyemaliza chuo, la sivyo nioe asiye na elimu ila umri mdogo.
 
wanawake walomaliza chuo wameshatumika sana na si kutumika pekee, wametoa mimba nyingi kitu ambacho ni kibaya zaidi mana utoaji mimba unaweza sababisha mimba nyingine zitoke mfululizo! Na si ajabu akakuzalia taahira muwe makini wenzangu, kutumika si ishu sana ila hili la kutoa mimba mhh, ni bora nioa mtu mwenye mtoto aliyemaliza chuo, la sivyo nioe asiye na elimu ila umri mdogo.

Tatizo huna courage ya kumuoa msomi sababu huna confidence as a realman ambaye unaweza kuface challenge kwa hiyo unaamua kutoa visingizio vya uongo
 
Hivi ukisema umri mkubwa unamaanisha miaka mingapi??
Issue iko hivi: wanaume mnaogopa wanawake wasomi kwa sababu baadhi yenu mnajijua kabisa hamna vigezo vya kuwaoa..
Mnaogopa wanawake wasomi kwa sababu wamewazidi ujanja economicaly&socialy..
Mnaogopa wanawake wasomi kwa sababu hawapelekeshwi hovyo cause hawamtegemei mtu...na wengi wao wanapenda kuishi independent lives bila kua na mume..
Lakini pia karibia kila baada ya miezi miwili hua nahudhuria harusi za marafiki zangu ambao ni wasomi nashindwa kuelewa utafiti wako ni wa sehemu gani specificaly!

Sister futa kauli, mwanamke hata asome vipi bado baba anabaki kama baba, I am talking through experience my mom aliolewa na mzee wangu wakati anatoka university udsm around early 80's, na by now she as a phd and a lecture somewhere but mzee just secondary school leaver with shortcourse but mpaka tunafika umri wa kujitegemea sijawai kuona mama akiwa juu, mzee akiongea hizo hoja na anavyoendesha shughuli zake hadi maza anaogopa, b mkubwa na shule zote hizo lakini anarudi kumuomba mzee msaada wa kila kitu kuanzia pesa, ushauri hadi pocketmoney kipindi anasoma as scholarship/ mshahara haitoshi, mwanamke hata asome vipi hawezi kumsumbua mwanaume as hasa huyo mwanaume akijua kuitengeneza pesa zaidi yake lazima anywee tu, na awai jikon kumpikia mumewe na kumtandikia mashuka anapoamka, ELIMU NI UWEZO SIO CHETI as wazungu wanasema education is what remaining on head after forgeting everything you learned from school, so hivyo vyeti havimtishi mtu
 
Ukweli jamaa kaanika mfupa hapa na nionavyo wengi katika uchangiaji wanaumauma meno tu, dalili za ukweli huo ni mkubwa, ingawa kuna wanaoolewa, lakini idadi kubwa hawaelewi.

Dhana hii inatokana na ukweli wa mapokea katika jamii zetu za kitanzania kwamba msichana mwenye umri mkubwa hafai kuolewa, na zama hizo alitakiwa kuwa mke wa pili akishapitisha umri mzuri wa ubichi. Pengine wengi wetu ni ule woga wa ukweli kuhusu usawa na haki za mwanamke ndani ya nyumba. Wanaume wasiokuwa tayari kwenda na wakati wanaona bora kwenda kuoa asiyeelimika au ambaye yuko tayari na mfumo dume wa mapokea. Lakini kazi anayokuwa nayo ni kubwa katika familia tofauti kama angemwoa msichana msomi wangetegemezana vizuri katika kujenga familia yao.

Wasichana waliohitimu vyuo vikuu wanatakiwa kujieleza kwa uwazi ubora wao kama mwanaume atawaoa na advantage tofauti na akioa msichana ambaye hana elimu na ana umri mdogo.
[/QUO

Umejaribu kuliweka vizuri kidogo,ingawa sometimes ukweli huwa unaumiza kwani itakavyochukuliawa ni kama vile wanadhalilishwa kwa kuliingiza swala kama hilo jamvini na pia hatuna research ya wazi kihivyo kudhihirisha hilo ila ni wengi kwa idadi.
 
katika utafiti niliofanya kwa miaka 2 wasichana wengi wanaosoma hadi vyuo vikuu huwa wankuwa na umri mkubwa , wachambuaji wa wachumba hali ambayo huwafanya wavulana wengi kuwakimbia(kuwapiga chini) hivyo kuishia kupigwa mimba na kuzaa watoto wasio na baba kitu ambacho huwa ni tatizo baadaye .Ili kukabiliana na tatizo hilo wasichana wa vyuo wamegundua mtego wa kuwanasa wanaume hasa wanachuo wenzao ambao ni mimba

kuna mtoto asiye na baba? rekebisha fwasta!!
 
Back
Top Bottom