Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
katika utafiti niliofanya kwa miaka 2 wasichana wengi wanaosoma hadi vyuo vikuu huwa wankuwa na umri mkubwa , wachambuaji wa wachumba hali ambayo huwafanya wavulana wengi kuwakimbia(kuwapiga chini) hivyo kuishia kupigwa mimba na kuzaa watoto wasio na baba kitu ambacho huwa ni tatizo baadaye .Ili kukabiliana na tatizo hilo wasichana wa vyuo wamegundua mtego wa kuwanasa wanaume hasa wanachuo wenzao ambao ni mimba