JICHO LA 3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 356
- 62
weka picha tuione kwanza tuprove then tutakupa ushauri
Mbona anachelewa kuweka hiyo picha ili tumpe maksi zake.
weka picha tuione kwanza tuprove then tutakupa ushauri
weka picha tuione kwanza tuprove then tutakupa ushauri
umri wa nini unauliza wewe? Hujui mtu anweza kuwa na miaka50 lakini ubongo/akili zake zina miaka 15? Funguka, si kila mwenye mvi anabusara,najua pia busara haizidi hekima.
rejao umeonaee! Ndio maana tukichoka kulumbana kule jukwaa la siasa kati ya magamba na magwanda huwa tunahamia kwenye majukwaa haya ya social kurefresh mind sometimes.
weka picha basiwasichana mpoo,, niteetteeeeeni. Jamani am there foryou ladies
Yaani huyu nae katika kundi la wanaume naye yupo na anajisifia kabis akuwa yeye ni mwanaume
Mwanaume hasifiwi sura wala sauti ndugu nenda kajifunze qualification za mwanaume urudi hapa kuja kupost ulichopost
Sijui sasa unataka tukushaurije eti dada alikuwa kwenye daladala akaforce kuja kukaa na mimi eti kisa HB
sasa hapo sisi tukusaidieje
Katika hali isiyokua ya kawaida wimbi la wasichana wanaonipenda linaongezeka hususani tangu mwaka jana. tofauti na awali hususani nikiwa masomoni. Hii inanipa wakati mgumu sana kwani hivi karibuni dada mmja wa banki naye alining'ang'ania bila mafanikio akionesha hisia nzuri na za wazi.Bahati nbaya mie ni mgumu pia.La kushangaza pia kuna dada mmja alimkomalia kondakta amkatie siti iliyokaribu nami na alifanikiwa.Nilimsoma na alionekana kuwa angependa kuzungumza mengi nami.kwa bahati mbaya pia sina maneno mengi kwa wadada na wengi husema nina macho mazuri na sauti nzuri. Mie naogopa kukitoa kwani nasikia ukianza vichanganya inakua ni shida tupu!. Kuepuka usumbufu mara nyingi inanibidi nisitoke na nitokapo tuu nikikutana na dada huwa radhi kuniambia HB ee twende upate hata soda just a company.it is now frustrating me. Ur advices pls!.Sio najisifu ila kwa wengi ninaonekana nipo nadhifu sana and active one
Niliisha wahi kutoa ushauri kwamba hapa Jamvini kuwe na vighalama vya kujiunga na kupost thread, hii ingeweza kupunguza kidogo hawa vijana wa High schools.Katika hali isiyokua ya kawaida wimbi la wasichana wanaonipenda linaongezeka hususani tangu mwaka jana. tofauti na awali hususani nikiwa masomoni. Hii inanipa wakati mgumu sana kwani hivi karibuni dada mmja wa banki naye alining'ang'ania bila mafanikio akionesha hisia nzuri na za wazi.Bahati nbaya mie ni mgumu pia.La kushangaza pia kuna dada mmja alimkomalia kondakta amkatie siti iliyokaribu nami na alifanikiwa.Nilimsoma na alionekana kuwa angependa kuzungumza mengi nami.kwa bahati mbaya pia sina maneno mengi kwa wadada na wengi husema nina macho mazuri na sauti nzuri. Mie naogopa kukitoa kwani nasikia ukianza vichanganya inakua ni shida tupu!. Kuepuka usumbufu mara nyingi inanibidi nisitoke na nitokapo tuu nikikutana na dada huwa radhi kuniambia HB ee twende upate hata soda just a company.it is now frustrating me. Ur advices pls!.Sio najisifu ila kwa wengi ninaonekana nipo nadhifu sana and active one
Kuna mambo kadhaa yaliyo nyuma yako "KAKA MZURI"
01.) Wewe ni limbukeni kwakua katika hali halisi mwanaume hodari hawezi kukurupuka na kuwazia upuuzi kama wako
02.) Kwajinsi ulivyojieleza ni dhahiri kua wewe ni mtoto wa mama katika maana kua umelelewa na kukulia mazingira na dada zako sana, yaweza kua hukuwahi kupata nafasi ya kukaa kwa muda mrefu na watu wa jinsia yako!
03.) Yawezakuwa una elements za kike, kwanini nasema hivyo? Wanawake wanatabia za kutaka kuwa karibu na wanaume ambao wanaendana mambo yao, mfano mzuri ni wale gays.! So ni afadhari ukionana na daktari wa masuala ya kijinsia kabla hali haijawa tete.
04.) Mara nyingi vijana wa aina yako ni wale "dad am going"(wakishua) ambao mda mwingi wa utoto wenu mlichezea sana toys, so unapofika wakati wa kujichanganya na binadam halisi huwa mnachanganyikiwa sana kwakua hali hua ni tofauti na kucheza na toys.
TAHADHARI: Jukwaa hili ni kwaajili ya Great thinkers, hivyo kama huna ule ugreat-thinker ni afadhali ukaishia kutazama na kupita tu kuliko kuweka upuuzi kama huu, halafu ni bora ukaendelea kulekule kwa wenzio(facebook)
ZINGATIA: Mzoea punda hapandi farasi.
wasichana mpoo,, niteetteeeeeni. Jamani am there foryou ladies