IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,460
- 7,372
Keren unajua wengi sisi sio HB tuna sura kama biringanya huyu inabidi apate HB mwenzake[/QUOTE]
yaani huyu dogo sijui kalogwa!...
Keren unajua wengi sisi sio HB tuna sura kama biringanya huyu inabidi apate HB mwenzake[/QUOTE]
yaani huyu dogo sijui kalogwa!...
Keren unajua wengi sisi sio HB tuna sura kama biringanya huyu inabidi apate HB mwenzake
Igwe ushauri wako unahitaji bana...lolKeren unajua wengi sisi sio HB tuna sura kama biringanya huyu inabidi apate HB mwenzake[/QUOTE]
yaani huyu dogo sijui kalogwa!...
dogo kanitia kichefuchefu sana mkuu,...ila nilihisi upupu toka kwenye heading yake.Igwe ushauri wako unahitaji bana...lol
mwana nimependa bandiko lak o ...mimi mwenyewe kuna siku niliambiwa niweke picha yangu nikaweka ....watoto wa hapa JF walinikubali ile mbaya ...hadi sasa hivi wananikubali ile kinoma..wewe fanya hivi ..weka picha yako hapa tuwamalize kabisa.Katika hali isiyokua ya kawaida wimbi la wasichana wanaonipenda linaongezeka hususani tangu mwaka jana. tofauti na awali hususani nikiwa masomoni. Hii inanipa wakati mgumu sana kwani hivi karibuni dada mmja wa banki naye alining'ang'ania bila mafanikio akionesha hisia nzuri na za wazi.Bahati nbaya mie ni mgumu pia.La kushangaza pia kuna dada mmja alimkomalia kondakta amkatie siti iliyokaribu nami na alifanikiwa.Nilimsoma na alionekana kuwa angependa kuzungumza mengi nami.kwa bahati mbaya pia sina maneno mengi kwa wadada na wengi husema nina macho mazuri na sauti nzuri. Mie naogopa kukitoa kwani nasikia ukianza vichanganya inakua ni shida tupu!. Kuepuka usumbufu mara nyingi inanibidi nisitoke na nitokapo tuu nikikutana na dada huwa radhi kuniambia HB ee twende upate hata soda just a company.it is now frustrating me. Ur advices pls!.Sio najisifu ila kwa wengi ninaonekana nipo nadhifu sana and active one
m
wana nimependa bandiko lak o ...mimi mwenyewe kuna siku niliambiwa niweke picha yangu nikaweka ....watoto wa hapa JF walinikubali ile mbaya ...hadi sasa hivi wananikubali ile kinoma..wewe fanya hivi ..weka picha yako hapa tuwamalize kabisa.
Hahahaha!!! Wewe Rocky banaaAfu Mkuu mambo yetu yako super wala hatuhitaji kuja kujisifia JF ila kila kitu kwetu kiko sawa
KH hapa umepatia hizi swagga ni za wale wale ambao bado wako kwenye umri uleeeeee
Hahaha! Afu anajiita mwanaume!..daah!Nimshauri nini mie wakati wengine tuna sura kama ugali uliosongwa sasa 6 mchana ukaja kuliwa saa 2 usiku
Katika hali isiyokua ya kawaida wimbi la wasichana wanaonipenda linaongezeka hususani tangu mwaka jana. tofauti na awali hususani nikiwa masomoni. Hii inanipa wakati mgumu sana kwani hivi karibuni dada mmja wa banki naye alining'ang'ania bila mafanikio akionesha hisia nzuri na za wazi.Bahati nbaya mie ni mgumu pia.La kushangaza pia kuna dada mmja alimkomalia kondakta amkatie siti iliyokaribu nami na alifanikiwa.Nilimsoma na alionekana kuwa angependa kuzungumza mengi nami.kwa bahati mbaya pia sina maneno mengi kwa wadada na wengi husema nina macho mazuri na sauti nzuri. Mie naogopa kukitoa kwani nasikia ukianza vichanganya inakua ni shida tupu!. Kuepuka usumbufu mara nyingi inanibidi nisitoke na nitokapo tuu nikikutana na dada huwa radhi kuniambia HB ee twende upate hata soda just a company.it is now frustrating me. Ur advices pls!.Sio najisifu ila kwa wengi ninaonekana nipo nadhifu sana and active one
Hahahaha!!! Wewe Rocky banaa
Lol... Kipipi matangazo mengine inabidi kuomba ushauri kabla hujayabandika!Biashara matangazo, jamaa usiondoke bongo movies hawako mbali!!
Ndo wale wale.......wanatakiwa kuwa busy na shule na kuachana na haya mambo....
. Mie naogopa kukitoa kwani nasikia ukianza vichanganya inakua ni shida tupu!. Kuepuka usumbufu mara nyingi inanibidi nisitoke na nitokapo tuu nikikutana na dada huwa radhi kuniambia HB ee twende upate hata soda just a company.it is now frustrating me. Ur advices pls!.Sio najisifu ila kwa wengi ninaonekana nipo nadhifu sana and active one
Ila na mimi nakubaliana na Kipipi kuwa Bongo Movies hawako mbali aende wakamthaminisheLol... Kipipi matangazo mengine inabidi kuomba ushauri kabla hujayabandika!
We MPAMBANAJI.COM, hivi una umri gani wewe? Wapi ulisikia mwanamme anasifiwa kwa sura? Mwanamme ni ww, matendo na approach yako kwa hawa watuliwazao, hawahitaji sura yako, no, no, no, wanahitaji kusikia unaongea nini and then matendo yako yanafanana na nyimbo zako. Cha muhimu dogo ni namna unavyoweza kutumia majaaliwa yako aliyokujalia subaana wa taala hadi ukaitwa mwanamume - short of that hata uew na sura nzuri kama JK kazi bure.