Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Nimesikitishwa sana na kauli ya Mbunge mmoja jionh hii wakati akichangia hotuba ya Mh. Rais, amesema, walifanya mtihani zaidi ya laki 3, lakin walifaulu elfu 38 tu, waliobaki walifeli, akashukuru kuwa, wasichana angalao wamefika f4 kwani wataolewa kwani wamepanda bei. Jamani Mbunge aliyetumwa na wtz anatukana wasichana hv? Kwamb wakifeli poa tu, maana wataolewa. Shame o u such myopic view!