MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Yawezekana umeamini tu kutokana na maoni ya watu,mitazamo ya jamii pamoja na wewe unavyo amini.
Kumbuka kuna wadada wengi huko mtaani wanaenda club kutoa huduma hiyo na wanajiita wanachuo ilimradi wawezepata wateja ambao wengi wao wanaamini kuwa wanachuo ndo wazuri nani sifa kutembea na wanachuo then fanya kwanza utafiti kwa kina nikisema UMEKURUPUKA NADHANI SITAKUWA NIMEKOSEA.
Ahsante alexism kweli mshkaji amekurupuka