Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Zamani saana nilikuwa natazama sana filam za kihindi.....
filam hizi zilikuwa na mambo meengi mno yanayofanana na maisha yetu ya kitanzania
na mafunzo tele....

sasa kuna filam moja naikumbuka kila siku......
askari mmoja akiwa katika katika pita pita zake mitaani
alisikia kelele za mwizi mwizii...akageuka akaona kijana anakimbia mbio...

akaanza kumkimbiza huku akimwambia yule kijana kusimama...kijana hakusimama...
akampiga risasi bahati mbaya ikamua yule kijana pale pale...
askari alikwenda kuona ni nini yule kijana alichoiba akakuta kijana kumbe ameiba chapati....

akajisikia vibaya mno na hasira saana...,mwisho akajua kuwa yule kijana ana mama yake mzee
ambae ndo alikuwa anamtegemea yule kijana...akazidi kujisikia vibaya mno...

mwisho akanunua kama chapati kumi akaenda kumpelekea yule mama wa yule kijana
na kumuomba msamaha kwa kumuua kijana wake kwa wizi wa chapati.....

yule mama aliongea kitu ambacho sijasahu ile filam mpaka leo...
akasema akimwambia yule askari...usijisikie vibaya...kwa yaliyotokea....wewe umefanya kazi yako
yeye angekuwa ananipenda na kunisikiliza mama yake asingekwenda kuiba...
wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo wala mkubwa.....wote tunapaswa kuwa raia wema........
wewe huna ulilokosea.....yeye alikuwa mwizi na yaliyomkuta ni sahihi kwa mwizi yeyote..
angenipenda kweli mama yake angekwenda kutafuta kazi akapata kipato cha jasho lake..
na sio kuiba......sijaisahau hiyo filam mpaka leo....

sasa siku hizi kwa watanzania weengi kumezuka mbio za kutafuta elimu by any means neccessary..
kwa wasichana wako tayari kujiuza eti ili wapate elimu...
kutembea na walimu au wakuu wa vyuo imekuwa kawaida mradi tu wapate hiyo elimu...
sasa swali ni hili hiyo elimu ina faida kweli kama umeipata kwa njia chafu?????

nini maana ya elimu kama haiwezi kukuonesha ubaya wa unachokifanya?????????
 
Faida ipo. . . ikiwa atajifunza kitu kweli maana hamna atakapoandikwa aliipata vipi useme waajiri wakiona CV yake watamnyima kazi.

Tatizo ni kama atajiskia amani au la, kama ataweza kuendelea huko mbele kwa juhudi binafsi au kila mara atataka urahisi.
 
Faida ipo. . . ikiwa atajifunza kitu kweli maana hamna atakapoandikwa aliipata vipi useme waajiri wakiona CV yake watamnyima kazi.

Tatizo ni kama atajiskia amani au la, kama ataweza kuendelea huko mbele kwa juhudi binafsi au kila mara atataka urahisi.

umekuwa jimama now?
faida zipi?
ni sawa na kusema ujambazi una faida
is it?
 
sasa siku hizi kwa watanzania weengi kumezuka mbio za kutafuta elimu by any means neccessary..
kwa wasichana wako tayari kujiuza eti ili wapate elimu...

Hiyo movie inaitwaje? Kasam Paida Karne Wake Ki?

Nikirudi kwenye mada, huenda wapo ambao watakataa ila ni kweli wapo wadada wa elimu ya juu wanaojiuza ili wapate elimu. Sasa sijui wanajiuza ili wapate hela za ada au sijui wengine wanajiuza kwa walimu wa kiume ili wapate kufaulishwa mitihani....wao wadada wahusika ndiyo wanajua sababu za wao kufanya hivyo.

Binafsi nimeshashuhudia kabisa wadada wa UDSM wakijiuza kwenye mabaa ya Sinza na Savei/ Mlalakuwa. Kwa kweli wanasikitisha na kutia huruma. Lakini kwa vile wanafanya hivyo kwa utashi wao basi sidhani kama wanastahili hata kuhurumiwa.
 
nadhani tatizo linaanzia nyumbani
wazazi tunawarithisha nini watoto wetu?

Values tunazowafundisha
ndizo zitakazowasimamia wakiwa wanafanya maamuzi yao
popote waendako

hii mentality ya the end justify the means imeingia majumbani naona...
 
Faida ipo. . . ikiwa atajifunza kitu kweli maana hamna atakapoandikwa aliipata vipi useme waajiri wakiona CV yake watamnyima kazi.

Tatizo ni kama atajiskia amani au la, kama ataweza kuendelea huko mbele kwa juhudi binafsi au kila mara atataka urahisi.

Heheheeee umekuwa Jimama tena?
 
naomba kuuliza
hivi ni kitu gani chenye thamani kwa mwanadamu
kuliko mwili wake mwenyewe?

Kama utatumia mwili wako
kwa ajili ya kupata kipato
unadhani ni kitu gani utakachoshindwa kutumia kupata utakacho

mfano, kama uliuza mwili kako for monea
nategemea waweza uza hata roho za wengine kwa pesa?

Faida ipo. . . ikiwa atajifunza kitu kweli maana hamna atakapoandikwa aliipata vipi useme waajiri wakiona CV yake watamnyima kazi.

Tatizo ni kama atajiskia amani au la, kama ataweza kuendelea huko mbele kwa juhudi binafsi au kila mara atataka urahisi.
 
umekuwa jimama now?
faida zipi?
ni sawa na kusema ujambazi una faida
is it?

Kwani we mshahara wako una faida gani?Unakulipia kodi, unakulisha na unakuvisha. Wa jambazi nao una uwezo wakufanya mambo hayo hayo . .
 
Hiyo movie inaitwaje? Kasam Paida Karne Wake Ki?

Nikirudi kwenye mada, huenda wapo ambao watakataa ila ni kweli wapo wadada wa elimu ya juu wanaojiuza ili wapate elimu. Sasa sijui wanajiuza ili wapate hela za ada au sijui wengine wanajiuza kwa walimu wa kiume ili wapate kufaulishwa mitihani....wao wadada wahusika ndiyo wanajua sababu za wao kufanya hivyo.

Binafsi nimeshashuhudia kabisa wadada wa UDSM wakijiuza kwenye mabaa ya Sinza na Savei/ Mlalakuwa. Kwa kweli wanasikitisha na kutia huruma. Lakini kwa vile wanafanya hivyo kwa utashi wao basi sidhani kama wanastahili hata kuhurumiwa.

nimeisahau jina
lakini Amitabh Bachan ndo alikuwa stariing
na alikuwa jambazi...huyo askari ni mdogo wake ambae alikuja kumuua mwisho kaka yake...
 
Nilishawahi kuwatembelea marafiki zangu katika chuo 'X' , niliyoyakuta ilikua ni karaha ,
badala ya kuwaza wasome vipi ili wafauli pepa yao , wao wako busy na mipango kabambe ya kucheat ,
to be honest , matokeo mengi ya vyuoni ya sasa ya ulakini mkubwa :A S embarassed:
 
ofu kozi

unajua kuna vitu vingine unajifunza kwenu bila hata kujua unajifunza kitu
mfano, baba ni womanizer
hata watoto hii dhambi watairithi bila wao kujua ndani ya nafsi zao

au baba anauza roho za wengine kupata mafanikio
ina a way mtoto anarithi
maisha yakim-push hard
anauza roho ya mwingine
hii mentality ya the end justify the means imeingia majumbani naona...
 
kwa wasichana wako tayari kujiuza eti ili wapate elimu...
kutembea na walimu au wakuu wa vyuo imekuwa kawaida mradi tu wapate hiyo elimu...
sasa swali ni hili hiyo elimu ina faida kweli kama umeipata kwa njia chafu?????

nini maana ya elimu kama haiwezi kukuonesha ubaya wa unachokifanya?????????

kila ulichonacho umekipata kwa njia halali?
 
naomba kuuliza
hivi ni kitu gani chenye thamani kwa mwanadamu
kuliko mwili wake mwenyewe?

Kama utatumia mwili wako
kwa ajili ya kupata kipato
unadhani ni kitu gani utakachoshindwa kutumia kupata utakacho

mfano, kama uliuza mwili kako for monea
nategemea waweza uza hata roho za wengine kwa pesa?

Thamani ya mwili wa mtu ni relative as well as subjective. Kuna namna ambayo wewe unaona ukiutumia mwili wako utakua umeushushia thamani, na mtu mwingine akaona kitu hicho hicho hakipunguzi chochote.

Swala la watu kutoa ngono ili apewe sijui majibu na nini sifagilii. . ila kumpangia mtu asiyenihusu chakufanya na mwili wake pia sifagilii vile vile kwasababu sielewi akili yake inavyofanya kazi ama kinachomsukuma kufanya hivyo. . na hapa wale dada poa wanahusu sana.
 
huwezi ita faida..
kazi sio mshahara tu...
kazi ina faida nyingi ikiwemo heshima mbele ya jamii

so huwezi sema kazi faida yake ni mshahara....
Hiyo heshima unayoitaka sio kila mtu anaihitaji kwahiyo usitegemee kila anaefanya kazi anafanya kwa sababu kama zako wewe. Hivyo hivyo hizo faida nyingine. . . kwasababu tu ni muhimu kwako haina maana ni muhimu kwangu pia. Unatakiwa uelewe kwamba binadamu tunatofautiana kwanzia sura mpaka malengo na hisia. . .
 
Back
Top Bottom