Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

ok,kama huwezi olewa na bwana alieacha mke wake, basi kubali tu kuwa utakuwa mpango wa nje kwa namna au gharama yeyote ile!!!!

Mpango wa nje ni sawa lakini natafuta asiyewahi kuoa na kuacha sijui unanielewa navyosema kuoa? Namaanisha ndoa ya kufungwa na kuzaa watoto
 
Mpango wa nje ni sawa lakini natafuta asiyewahi kuoa na kuacha sijui unanielewa navyosema kuoa? Namaanisha ndoa ya kufungwa na kuzaa watoto

labda ungenieleza kwanza hao waliowahi kuoa na kuacha utawatambuaje?pili, wana mabaya gani ambayo unayaogopa?
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

sina la kuendeleza coz hii research yako cjaiamini
 
labda ungenieleza kwanza hao waliowahi kuoa na kuacha utawatambuaje?pili, wana mabaya gani ambayo unayaogopa?

Utawatambua kwa kuwa na watoto na watakueleza nilikuwa na mke tukaachana. Kama ameshindwa kukaa na mke wake wa ndoa wewe utawezaje na una nini hasa cha ajabu ambacho huyo aliyempenda mpaka akamuoa alichokosa??? Wanakuwa na mapungufu mengi mno
 
Utawatambua kwa kuwa na watoto na watakueleza nilikuwa na mke tukaachana. Kama ameshindwa kukaa na mke wake wa ndoa wewe utawezaje na una nini hasa cha ajabu ambacho huyo aliyempenda mpaka akamuoa alichokosa??? Wanakuwa na mapungufu mengi mno

labda ungenijuza kwanza kwamba, hivi unatambua kuwa nyinyi wanawake mna tofautiana sana kwa uzuri, tabia na mambo mengine mengi tu?wewe, Dena, sio sawa na Wiselady, Firstlady, Nyamayao na wengine wengi tu pamoja kwamba nyote ni wanawake!
 
Lizzy utakuwa mwangalifu sana lakini ukiingia ndani makucha yanatokeza utafanyaje??????????????
Dena kila mtu anaweza kua na makucha yaliyojificha kwa maana hiyo hata mahusiano ya kawaida tu tuyaogope!Coz kama mtu kashindwana na x wake alafu anataka kunioa mimi ntamuwezaje!!Sio haki bwana...cha muhimu ni kumsoma mtu na kumuuliza up front ilikuwaje!
 
Inawezekana huyo mkewe ndo mkorofi!!!
Pls rudia research yako na uangalie upande wa pili wa shilling kuhusu mme coz sio ndoa zote znachakachuliwa na wanaume!!
 
Dena kila mtu anaweza kua na makucha yaliyojificha kwa maana hiyo hata mahusiano ya kawaida tu tuyaogope!Coz kama mtu kashindwana na x wake alafu anataka kunioa mimi ntamuwezaje!!Sio haki bwana...cha muhimu ni kumsoma mtu na kumuuliza up front ilikuwaje!

Utamsoma na ataficha makucha Lizzy. Shida yangu kwanini na sababu gani
 
Kule hakufai tena tuna beep tu na kuishia wanoko kibao

ifikapo mida flani ntatangaza rasmi jina la hii sred,,,,hahaha lkn ukweli inabidi umakini sana unapokutana na mtu aliyeachwa au kuacha kny ndoa,,,,inawezekana hapo johari window inaplay part kistyle sasa kujua ipi ni ipi ndo tatizo.
 
labda ungenijuza kwanza kwamba, hivi unatambua kuwa nyinyi wanawake mna tofautiana sana kwa uzuri, tabia na mambo mengine mengi tu?wewe, Dena, sio sawa na Wiselady, Firstlady, Nyamayao na wengine wengi tu pamoja kwamba nyote ni wanawake!

We Bacha kwani wewe unataka kuniambia wewe ni sawa na Kimey, The Finest, Baba Enock, nawengine hata nyie hamfanani??? Na kumbuka mwanaume hasifiwi kwa kula anasifiwa kwa kutenda haki kwenye 6x6
 
ur rite kwakweli,if he cheated on her,he will cheat on you.
Ni kweli Pearl lakini wapo ambao pia huachana bila ridhaa yao.... wengine walipooa hawakudhania kuwa wenzi wao wako vile walivyo so mwisho wakalazimika kuachana..................so so wote wapo ambao baada ya kuacha wakajapata pepo ati na wakatulia tuuuuuli. Hivi hakuna wanawake wenye tabia hizo?
 
labda ungenijuza kwanza kwamba, hivi unatambua kuwa nyinyi wanawake mna tofautiana sana kwa uzuri, tabia na mambo mengine mengi tu?wewe, Dena, sio sawa na Wiselady, Firstlady, Nyamayao na wengine wengi tu pamoja kwamba nyote ni wanawake!

kiukweli hata vidole havilingani,,kwa hiyo hata binadamu awe mwanaume/mwanamke lazma tutofautiane kwa kila kitu,,na tumeumbwa hivyo kwa maksudi kabisa.
 
kiukweli hata vidole havilingani,,kwa hiyo hata binadamu awe mwanaume/mwanamke lazma tutofautiane kwa kila kitu,,na tumeumbwa hivyo kwa maksudi kabisa.

Ha ha ha ha umepata thanks yangu ya pili kwa hili
 
Utamsoma na ataficha makucha Lizzy. Shida yangu kwanini na sababu gani
Kama yeye hakua chanzo cha kuachana si itakua hatendewi haki?Wanawake wengine wanashindikana Dena!Kuna mmoja kakimbia na kumwachia mume mtoto mdogm alafu hata haimuumi..sababu yake ni kwamba hakuwahi kumpenda mume aliolewa kwa ajili ya maisha tu!Sasa niambie ni haki kumwadhibu mwanaume kama huyo ambae hana kosa??Yani kaka wa watu anabembeleza mpaka unamwonea huruma...utadhani ni kosa lake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom