Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
- Thread starter
- #101
ok,kama huwezi olewa na bwana alieacha mke wake, basi kubali tu kuwa utakuwa mpango wa nje kwa namna au gharama yeyote ile!!!!
Mpango wa nje ni sawa lakini natafuta asiyewahi kuoa na kuacha sijui unanielewa navyosema kuoa? Namaanisha ndoa ya kufungwa na kuzaa watoto