Arusha noma
madem wa arachuga ni funiko kwanza kisomo juu then kwa ujumla arusha is next step
hvyo vinyota nyota tusi au?no! namaanisha kiujumla awe mzaramo ****** mpogoro etc. Ili mradi awe ni wa Dar
utakapo kuwa tayari sema!sijafanya reseach nipe muda
siyo tusi, nilikua nimeandika wakwere...cjui nani akavtupia hivo vidude. Labda mode!hvyo vinyota nyota tusi au?
nijue!unatakaje sasa
halafu kinywaji ambacho mmoja ataagiza wote watasema hicho hicho.mala nyingi wanapendelea serengeti na mishikaki.kabla ya kunywa hiyo bia anachana kwaza karatasi iliyobandikwa kwenye chupa.miaWa Arusha wengi wazuri tatizo lao ni moja, ukimualika Dinner mmoja anakuja na wenzie wanne!
changia hoja acha kupotezeaHivi wanaume wa Arusha na Dar wapi wakali?
Hivi wanaume wa Arusha na Dar wapi wakali?
Hivi wewe, ni kitu gani kimekusibu unaamua kuibua masredi zilipendwa? Khaaaa!Wakali wa AraChuga,
Dar wengi ni akina Mariyoo.