no! namaanisha kiujumla awe mzaramo ****** mpogoro etc. Ili mradi awe ni wa DarWa dar unamaanisha wenye asili ya uzaramu?
stup.i.d question
kwan we wa wap? lakin inaelekea we ni wa aruchuga maana umeanza na aisee...Aisee wanaJF wenzangu ninaomba tujadiliane kuhusu hii kitu kuhusu mademu wa Arusha na Dar wepi wakali zaid na wenye Swagga za ukweli.......?
kisura, kimaumbo na utupiaji wa pamba!unauliza wasichana wa wapi ni wakali kwa ujambazi au uchunaji mabuzi?
thanks mkuu!stupid thread
wewe wa Dar nini?thanks mkuu!
alafu wa Dar wambea kinyama! Ucpyme jombaa...Wasichana wa Ar nawakubali sana.wasichana wengi wa dar ni mashankupe,si watafutaji yaani ni wafuga kucha,wanapenda starehe kuliko kazi na wasichana wa dar unakuta msichana mmoja ana vidumu vitano.wasichana wa dar sio...MIA.
wewe wa Dar nini?
hahaha hiyo ki2 ndo inawafanya wawa wa kipekee, SWaggzmademu wa arusha wakismile ndo mwisho wao..meno yote meusi..
Nimeipenda hiyo.unauliza wasichana wa wapi ni wakali kwa ujambazi au uchunaji mabuzi?