Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ladies kama una partner wa hivyo mshauri like "Baby why usitoe single?"...Itauza honey, You know una kipaji ambacho mayb me ndo nakivumbua
wanaume hawana kawaida ya kusema maneno haya 24/7. sisi wanawake ndio mara nyingi ni wepesi. huyu wa kwako ana lake jambo. isije ikawa kuna mambo anaficha. mchunguze. usidhani anakupenda, kumbe maneno haya kuna msururu wanaambiwa the same words.
1)sio siri itanikera nisifie kiasi ila sio kila saa sasa mana nitakuona mtoto wa mama na kuona unafanya ivo ili kuficha mazambi yako huko nje ili nikisikia niseme hawezi kufanya ivo mana ananipenda sana .........
2). kwakweli atakua ni zuzu mana mwanamume wa ivo hakuna dunia ya leo khaa!
3) mapenzi yaivo yanakera saaaaaaaana