bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,285
- 6,671
haki ya nane wanaume tuna kazi,tuoneeni huruma jamani.....
Jioneeni huruma wenyewe, musitafute degree za mapenzi, tafuteni za uhakika zilizowapeleka hapo chuoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haki ya nane wanaume tuna kazi,tuoneeni huruma jamani.....
Jumanne ya juzi kuna kijana mmoja alipigwa sana na kupoteza uhai udsm hall 1 kwa kuitwa mwizi.
Uchunguzi uliofanyika ulibaini yule kaka hakuwa mwizi. Alikuwa boyfriend wa mwanadada mmoja ambapo inaonekana huyo dada alikula hela ya jamaa. Kabla ya kuitwa mwizi alionekana akizungumza kwa simu kwa muda mrefu aking'ang'ani 'kuja room'. Baada ya kufika kwa mdada huyo walivutana na mwisho wa siku alimpigia kelele za mwizi. Kama kawaida ya watanzania wakampiga mawe na matofali wakaua!
Mimi nakumbuka Mabibo Hostel 2006, Jamaa aliitiwa mwezi na mwanamke, watu wakaanza kumpiga bahati nzuri jamaa akadondosha ID ndo watu wakajua Mwanafunzi mwenzio na alikuwa mpenzi wa yule mwanamke, wanafunzi wakiume wakavamia block A na B, mpaka defender zikaja.
Ee Mungu uturehemu,
Mimi nakumbuka Mabibo Hostel 2006, Jamaa aliitiwa mwezi na mwanamke, watu wakaanza kumpiga bahati nzuri jamaa akadondosha ID ndo watu wakajua Mwanafunzi mwenzio na alikuwa mpenzi wa yule mwanamke, wanafunzi wakiume wakavamia block A na B, mpaka defender zikaja.
Na watoto wao wa kiume wataitwa wezi. Pole kwa thier future husband they are going to share the curse.Mshahara wa dhambi ni mauti! Huwa sometimes msemu huu una-apply!
uliza toto za ifm, ilikuwa mwaka 2009 kama sikosei.
usikurupuke mkuu ,amesema IFM.....Read between lines wewe.Daaah!hii uongo mtupu,2009 nimekaa pale udsm tena main campus cjawai kusikia....JIPANGE WEWE!
uliza toto za ifm, ilikuwa mwaka 2009 kama sikosei.