Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
mwanzenu aliambiwa ili aingie kwenye kundi la premium Member, inabidi apoat nyuzi nyingi na kuchagia post nyingi, so jamani mwacheni zjitendee haki, mpeni mwenzenu sapoti apande level ingine, Lol
Mwenzangu hata kama ni suala la upremium member aisee, huu mwendo umekaa kushoto mpenzi!! Namjoin Cantie kwa hili dear, sitoi support ya kile alichokiuliza, nadhani members wengine watamjibu!