Mie ninachojua wanawake ukiwatongoza, kinachofuata ni kuombwa vocha
Mi sijui...sijawahi kutaka kwenda kwa watu bila kukaribishwa!!
Asanteee....sasa mwaliko wenyewe unahusu msosi au nakuja kuangalia tv tu?!karibu kwetu rafiki yangu lizzy.....
Ukimtongoza tu mdada na urafiki ukijengeka tu baada a muda atakachofanya atataka kufika kwako unakokaa wewe (mwanaume), hapo kwa mwanaume anatafuta nini?
kwa case hii mimi sio mdada. Lol.Ila nafikiri sio jambo baya.Ukimtongoza tu mdada na urafiki ukijengeka tu baada a muda atakachofanya atataka kufika kwako unakokaa wewe (mwanaume), hapo kwa mwanaume anatafuta nini?
heheheh wanawake bana!Ukimtongoza tu mdada na urafiki ukijengeka tu baada a muda atakachofanya atataka kufika kwako unakokaa wewe (mwanaume), hapo kwa mwanaume anatafuta nini?
Asanteee....sasa mwaliko wenyewe unahusu msosi au nakuja kuangalia tv tu?!
Muhimu kujua kwa maandalizi binafsi!!Lizzy mbona wajihami hivyo...............................
Kwanza jiulize kwanini huyo kaka alimdanganya?!Labda msichana angejua ukweli toka mwanzo wala asingejali.....kuna uwezekano kwamba mdada tatizo lake halikua mshkaji kutokua n flat screen bali kutokua nayo na kudai anayo!!!Kuna kasichana kalikuwa kanalalamika chuon eti mkaka kamdanganya ana flat screen kwenda kwake anakutana na dungu, sasa sie tukawa tunacheka hatuna mbavu, tunajiuliza flat sreen inahusiana vipi na mapenzi yao mpaka aje kulalamikia kwetu?watu kweli siku hizi wako kimaslahi zaidi
Dah! ubarikiwe shantelKuna kasichana kalikuwa kanalalamika chuon eti mkaka kamdanganya ana flat screen kwenda kwake anakutana na dungu, sasa sie tukawa tunacheka hatuna mbavu, tunajiuliza flat sreen inahusiana vipi na mapenzi yao mpaka aje kulalamikia kwetu?watu kweli siku hizi wako kimaslahi zaidi
Lizzy yaani alikuwa serious sana na malalamishi yake, eti mi nilidhani anasema kweli, muongo kanidanganya, na jamaa kakazana kujitetea eti ipo kwa fundi, yaani ni utoto fulan hivi nilichaka sana that time. na hawakuachana mpaka walioana na dungu laoKwanza jiulize kwanini huyo kaka alimdanganya?!Labda msichana angejua ukweli toka mwanzo wala asingejali.....kuna uwezekano kwamba mdada tatizo lake halikua mshkaji kutokua n flat screen bali kutokua nayo na kudai anayo!!!
Ur right Hute! Most of them wako hivyo. Kazi kweli kweli, sasa kumkubali mtu kuna uhusiano gani na vitu vilivyopo nyumbani kwa mtu?anaangalia kama kuna masofa, luninga, mapochopocho, na viatu vya kike kama vipo..akiona pametulia hakuna dalili ya mwanaume, pia pana vitu hivyo nilivyovitaja...apo umepata...akiona kuna viatu vya mwanamke au kanga etc, akaona hapaelewekieleweki hamna masofa, hamna mazingira ya fweza...analala mbele na mameseji mabaya na kununiana kunaanza.
Ukiona anachunguza hayo huyo ni kumpiga chini, au siyo?Kuna kasichana kalikuwa kanalalamika chuon eti mkaka kamdanganya ana flat screen kwenda kwake anakutana na dungu, sasa sie tukawa tunacheka hatuna mbavu, tunajiuliza flat sreen inahusiana vipi na mapenzi yao mpaka aje kulalamikia kwetu?watu kweli siku hizi wako kimaslahi zaidi
Kama ni hivyo nampa big up sana huyo dada anajua kusamehe na ndo maana mume kamuona huyo ni wa kumchukua na kumfanya ma waifu wake, wengi wa kimaslahi hawana moyo kama huo hata siku moja!Lizzy yaani alikuwa serious sana na malalamishi yake, eti mi nilidhani anasema kweli, muongo kanidanganya, na jamaa kakazana kujitetea eti ipo kwa fundi, yaani ni utoto fulan hivi nilichaka sana that time. na hawakuachana mpaka walioana na dungu lao
Ukimtongoza tu mdada na urafiki ukijengeka tu baada a muda atakachofanya atataka kufika kwako unakokaa wewe (mwanaume), hapo kwa mwanaume anatafuta nini?