Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
sio wewe tu mkuu, nadhani hunishindi mimi. nina binamu yangu ana mzungu ambaye ni mkubwa kuliko dady wake yani. hapo sijui kafata mirathi!Mimi binafsi huwa nasikia kinyaa nikimuona msichana wa kiafrica na mwanaume wa kizungu.....
Ni tatizo langu binafsi i guess...