Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu alie kuwepo kwenye Kilimanjaro 3 akasema: "tulikuwa kwenye boti ya klnjaro 3, tukaipita boti hiyo ya KALAMA{SEAGULL} maeneo ya karibu na chumbe kutoka dar, ilikua inayumba kwa mawimbi makali yaliokua yakisababishwa na upepo wa leo. baada ya dakika kama 25 ikiwa iko nyuma yetu tuliiona ikibiruka na kuzama upande mmoja. watu wote tuliokuwa kwenye k.njaro 3. sehemu ya juu tuliliona tukio hilo. captein wetu hakuweza kurudi kwenda kutoa msaada nadhani ni kwa sababu ya kwamba nayo k.njaro ilikuwa imejaza abiria wengi, hivyo aliona ni bora kwanza kutufikisha znz. tulipofika tu znz akashusha abiria na kugeuza kwenda kwenye tukio. ilituchukua kama mda wa saa 1 na dakika 25 tokea kuiona boti ikiwa inazama hadi sisi kufika bandarini znz." Source: Kuna Taarifa Bodi ya Seagull Yazama Chumbe | Mzalendo.netumeanza vizuri, ila mstari wa mwisho ndio umeniachia maswali. Mv Kilimanjaro ilipita muda gani kabla kuzama kwa iyo ferry? Je unafahamu vizuri tabia za bahari? Je sio kwamba inawezekana Mv Knjaro ilipita wakati bahari iko shwali? Sipingi inawezekana iliyozama ni mbovu, lakini kama bahari umechafuka haichagui meli ya kuzamisha, hata kama ni meli mpya or meli kubwa kama USS Enterprise (super carrier) lazima iende chini.Kuna umuhimu kuwauliza Meteorology dept kuhusu hali ya hewa or walionusurika weather ilikuaje hapo+hali ya ferry iliyozama. Tukipata majibu hayo nafikiri mjadala wetu utakua na focus zaidi.
Mmmmm..... Ni Azam tu atabaki kuwa msafi, jamaa boti zake ananunua mpyaa!!!"""
Nigger yu were damn right. hatimae Bom Limelipuka.wametuletea time bombs nyingine
utawala huu utanunua hata cockroach. Unafahamu mwaka jana ndio walipitisha ile sheria ya kununu vitu chakavu. Wako kwenye project ya kunyonga . Si unaona mv seagul, mv s.islanders, yote hii ni project ya kunyonga . Wabunge wetu bahati mbaya huwa hawafikirii mbali . Wao kazi yao kuuunga mkono hoja 100 kwa 100. Sasa wabongo ndo watajua ni kwa nini serkali ilipitisha muswada wa vyombo chakavu . Mapaka watu wafe bado watu hawagundua tu. Sasa wabunge haohao wameanza kutoa rambirambi wakati mwaka jana walipitisha kinyongeo.kama tatizo ni passenger comfort tu na siyo sana safety issues hai-mati sana kama mnunuzi ni mtu binafsi. Uroda wa raia wa marekani siyo sawa na wa bongo bana kwa hiyo what's the big deal? Mbona daladala karibia zote watu wanajazana 20 plus beyond normal allowable passenger capacity ya mabasi husika lakini hamna anayepiga kelele?
Ndio haya haya. Zitaletwa ferries chakavu hapa zikiua tunaambiwa zilikuwa mpya wakati tayri zimeshaoza na wamarekani hawazitaki tena. Kitu imewekwa mpaka ebay hakuna aliyenunua.
mchawi arifu wewe aiseee.....Ina maana zimepass test ya kufanya kazi bongo? Au kkiwa kazini mara tutasikia imezamisha abiria huko baharini. wamerekani walikuwa wanatafuta sehemu ya kuzidump naona wamepata