only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
..Ni kama upepo umeanza kuwageukia CCM,baada ya kuwazushia wazee wa ARUMERU kuwa awamtaki LEMA sasa hali imeanza kuwa tofauti kabisa..habari zinasema kuwa wazee wakishili wamempa onyo kali kiongozi wa kampeni za CCM ndugu Nchemba juu ya tabia zake walizosikia alifanya kule Igunga..."Tumesikia huyu kiongozi wa kampeni wa CCM anakashfa mbaya sana alifanya kule Igunga,sijui kama ni kweli au la,ila tulisikia,tunamuonya hapa sio Igunga tutamfundisha adabu" alionge Mzee Alisante elirehema...Alipotafutwa ndugu Nchemba kudhibitisha onyo hilo simu yake ilikuwa inaita bila kupokelewa...
Source: Amani jumapili.
Source: Amani jumapili.