Haya ndiyo hatuyataki,usivuruge thread kwa maneno yako huku ukijifanya ni mfuasi wa CDM,hayo ni yako tuuItabidi CCM wawahi kwa maloiguanan sasa. Meru nafikiri waislamu ni wachache sana, na hawavai hijabu
yaani ninyi sisiem mna matatizo kweli kwani aliyekwambia kuwekewa mikono ni ushirikina nani? ushawahi kwenda kanisani ukamwona baba paroko anavyowawekea waumini wake mikono baada ya matukio kadhaa kama kurudi kundini , kufunga ndoa?Kwani ili ushinde lazima upitie kwenye mikono ya ushirikina?
Sio kila mkono unao wekwa juu yako ni wa baraka,...mingine ni ya laana.
Nini maana ya wazee wa KISHILI? Hasa hili la mwisho? Hawa waliomwekea mikono nawaona wamekaa kama ni wachungaji wa kanisa fulani hivi hasa ukizingatia wamevaa kimagharibi zaidi kuliko kimila (kiasili).
This time kama CCM hawajaambulia 30% sijui maana kila tawi wanaloshika linateleza.
Chadema tunapaswa kufanya kampeni hasa siyo longolongo.....kuna viji bado wana mawazo ya kizamani kabisa huwezi kuamini.....eti Siyio atashinda tu kwa sababu anapesa...haya ni mawazo ya watu huku vijijini...chadema lazima tufike huko tupege kampeni ikiwezekana za kaya kwa kaya....wanachadema wote wapenda mabadiliko tuiwezeshe chadema ifanye kampeni za kutosha...
........yupi, Rose? maana wapo wengi taja jina.Nadhani atakuwepo ila wkend alikuwa na demu wake magomeni