- Thread starter
- #21
wazee nawashukuruni sana kwa ushauri, ama kweli inaonyesha umuhimu wa kuwa mwanajamii,asanteni sana ndugu zangu, nitaufuata ushauri wenu wa kindugu kweli mlionitumia. Mungu awarudishie mara dufu na tuzidi kufaana katika jamii forum, ndugu yenu, camfu!!