Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Sasa ManU wanamakosa gani, yaani hadi referees can't help themselves. Its only natural, huwezi jizuia mapenzi. Get off our back!
showing us a pic of kid with his grandpa its absolutelly rediculous!
Wivu tu, hamna lolote!
Sidhani kama ujumbe wako una ukweli wowote, kama ndivyo basi goli zingekuwa 4-2, maana Luiz aliponawa mpira uliopigwa na Valencia ndani ya mstatili wa Chelsea refa angeibeba MAN U.View attachment 69662
.........
Kama unafikiri linauliwa na MAN U kwanini lisiinuliwe na CHELSEA, ARSENAL na MAN CITY?Ndo maana soka la England litakua likiishia ''knock out stages' au robofainali.
Haina tofauti na mambo yanayofanyika hapa kwetu U simba na yanga. In our own dreams ndo tutakua tukishinda major tournaments as a nationala team. Vilabu pia vina-infuence national team,,,,sigh
Mtu aliyejaa uchungu na wivu kwa mwenzake anapata nafuu aidha kwa kulia au kuongea lile lililomo moyoni, unahaki ya kupiga kelele.Umegusa panapoguswa haya majitu yanabebwa sana na refa.Ningekuwa na uwezo ningeiua hili li timu lina haribu mpira sana
View attachment 69662
.........
Ndo maana soka la England litakua likiishia ''knock out stages' au robofainali.
Haina tofauti na mambo yanayofanyika hapa kwetu U simba na yanga. In our own dreams ndo tutakua tukishinda major tournaments as a nationala team. Vilabu pia vina-infuence national team,,,,sigh