Am not jokin ma broda... Na work out niweze kuwasha karatasiNO JOKES PLZ!!
Rakims
Ninajikinga Kwa Mwenyezi Mungu Kutokana Na Shetani Wa Kijini, Na Mashetani Wa Kibinaadamu Na Kijini,Rakim naomba nijue jina la mungu unayemwamini anaiwa nani,mitume wake au manabii wa mwanzo wanaitwa kina nani?
Ni kweli kuna nguvu ya kiungu ndani yetu lakini pia si kila nguvu ni ya Mungu zingine niz aibilisi.
Vuta Pumzi Ndefu Ndani Na Nje Ziwe Jumla Ishirini Halafu upumue kawaida Halafu Uvute Uwezo Uliopo Ndani Yako Kwa Imani Yako Kisha Uanze Tena Kutaja Spells...Mm nimejaribu mara nyingi lakini nimeshindwa
sawa ngoja nijaribu tena,nikiweza nitaleta mrejesho ukiona kimya ujue nimeshindwa tenaVuta Pumzi Ndefu Ndani Na Nje Ziwe Jumla Ishirini Halafu upumue kawaida Halafu Uvute Uwezo Uliopo Ndani Yako Kwa Imani Yako Kisha Uanze Tena Kutaja Spells...
walioweza wanawezaje na wewe unashindwa vipi? keep calm do with Concentration Bila Wazo Lolote Kuingilia Fanya Kama Vile Ulishawahi Kufanya Kabla...
Rakims
Haina noma mtaalamOk Hongera Ukiweza Wasaidie Na Wengine Humu Kufanya Provement...
Rakims
asante kwa kufahamu mkuuHapa Ndio.Nimeelewa Naongea Na Mtu Mwenye Uwezo Gani Wa Kufikiria
Rakims
Hahahaaaaaa!!!!! mbavu zangu!!! umenichekesha mpaka majirani wananishangaaa!!!! huo ni yoga wako tyu!!unaweza ukaongea maneno haya ukajikuta unatazamana uso kwa uso na shetani
kuna wakati uoga unahusika nduguHahahaaaaaa!!!!! mbavu zangu!!! umenichekesha mpaka majirani wananishangaaa!!!! huo ni yoga wako tyu!!
Je, Unataka Kupima Nguvu Zako Za Ziada? Mind power? Fanya hivi:
Mahitaji:
1: Sauti Iliosawia Ya Kwako
2: Taa au Mshumaa
Fuata Yafuatayo Utaweza Kuwasha Na Kuzima Mshumaa Kwa Nguvu Ya Fikra Yako...
Maneno Utakayo Taja Nimeyaandika Kiherufi Za Kukaza Na Kuvuta Ziweze Kuachia Nguvu Ya Ndani Yako
Jinsi Ya Kufanya:
Tafuta Mahali Palipo kimya Kabisa Ukifanya Kwenye Fujo Itachukua Muda Mrefu Kufungua Power Zako..
Hii anaweza Kufanya Mtu Yoyote Hata Ambae Hajawa Deep Na Nguvu Zake Za Ziada...
Anza Kwa Meditation Kwa Wale Wanaofanya Meditation Japo Kuwa Sio Lazima..
Tizama Taa Au Mshumaa Wako Kwa Sekunde 20... Hakikisha Unahisi Mahusiano Kati Yako Na Taa Yaani Ujiweke Kuwa Unauwezo Wa Kuendesha Mwanga...
Sasa Sema Maneno Haya:
"Ic Beh? F? Es i? Oht? T cierr on/? Cyrf, gesc? Adnes hit n? Hand mec l? Gel? Oht sw? C?? Hit b? On!"
Jinsi Ya Kutaja:
Ic -ick
Es -bes
T? -et
Cierr -cierr
Mec - mek
Oht -lot
Sw? -swar
Maana Yake Ni:
Nahitaji Hii Taa Iwake/Izime Nipe Mwanga/zimika... ZIMA AU WAKA...
Jitahidi Usikosee Ukikosea itabaki Hivyo Hivyo... Na inaweza kuchukua muda
"This Is The Easy Way To Prove That You Have Powers"
By
Rakims