Wasemavyo wa-US juu ya uchaguzi wetu wa Oct 31, 2010.

ngwendu

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
1,964
174
POLITICAL CONDITIONS
Tanzania held its fourth multi-party general elections on October 31, 2010. The ruling CCM party faced its most serious competition in the multi-party era. President Kikwete was re-elected with 61.7% of the vote, reduced from 80% in 2005.

The Chadema party was for the first time the recipient of the most opposition votes. Chadema's presidential candidate, Willibrod Slaa, took 27% of the vote, while CUF's Ibrahim Lipumba received 8%. Voter turnout, at 42%, was by far the lowest in Tanzanian history; previously, at least 70% of registered voters had cast ballots. Although the elections were conducted without major disturbances or irregularities, Chadema officials raised concerns about voting and tabulation procedures and about the constitutional prohibition on challenging presidential election results following their formal announcement.

Kwenye red,
Kama kila wakala wa chama alisaini fomu ya matokeo katika uchaguzi uliofanyika, nakala moja ikabandikwa nje, ingine ikaenda na msimamizi na zingine zikaenda na kila wakala wa kila chama kuna haja gani chadema kulalamika? kwa nini tu wasije na evidence kwa kujumulisha fomu za mawakala wao na kuziweka hadharani? Kwani hizo si zilisainiwa na wote hata msimamizi wakituo? Au wanatafuta huruma tu ya wananchi ili tuwafariji? Hicho kiingereza na maana yake hapo juu ni kutoka CIA.
 
Kwenye red,
Kama kila wakala wa chama alisaini fomu ya matokeo katika uchaguzi uliofanyika, nakala moja ikabandikwa nje, ingine ikaenda na msimamizi na zingine zikaenda na kila wakala wa kila chama kuna haja gani chadema kulalamika? kwa nini tu wasije na evidence kwa kujumulisha fomu za mawakala wao na kuziweka hadharani? Kwani hizo si zilisainiwa na wote hata msimamizi wakituo? Au wanatafuta huruma tu ya wananchi ili tuwafariji? Hicho kiingereza na maana yake hapo juu ni kutoka CIA.

Huwa sipendi watu wanao amini kitu kikisemwa na mtu fulani kina ukweli, huku akiacha na uhalisia wa mambo. kwa mfano juzi nilikaa na mpuuzi fulani anadai Rais wa Ivory coast anayeng'ang'ania madaraka inabidi tuu aachia kwasababu hata Marekani haimuungi mkono. Aibu kwako ngwendu
 
Huwa sipendi watu wanao amini kitu kikisemwa na mtu fulani kina ukweli, huku akiacha na uhalisia wa mambo. kwa mfano juzi nilikaa na mpuuzi fulani anadai Rais wa Ivory coast anayeng'ang'ania madaraka inabidi tuu aachia kwasababu hata Marekani haimuungi mkono. Aibu kwako ngwendu

Na wewe ni yapi mawazo yako kuhusu Mgogora wa Ivory coast?
 
Huwa sipendi watu wanao amini kitu kikisemwa na mtu fulani kina ukweli, huku akiacha na uhalisia wa mambo. kwa mfano juzi nilikaa na mpuuzi fulani anadai Rais wa Ivory coast anayeng'ang'ania madaraka inabidi tuu aachia kwasababu hata Marekani haimuungi mkono. Aibu kwako ngwendu
Mkuu ni ukweli uliowazi kuwa USA ni kiranja wa dunia na linaloamliwa washington DC ndo linaloamliwa hapa na sehemu nyingine nyingi duniani.

Lakini turudi kwenye mada, nimeuliza hivi " Kama kila wakala wa chama alisaini fomu ya matokeo katika uchaguzi uliofanyika, nakala moja ikabandikwa nje, ingine ikaenda na msimamizi na zingine zikaenda na kila wakala wa kila chama kuna haja gani chadema kulalamika? kwa nini tu wasije na evidence kwa kujumulisha fomu za mawakala wao na kuziweka hadharani? Kwani hizo si zilisainiwa na wote hata msimamizi wakituo?"

May you answer please!

Mimi naamini katika historia ya Tanzania ya vyama vingi huu ndo uchaguzi uliovunja rakodi ya kuwa very transparent. Ndo maana huwa nawaona kama mnarap tu humu JF.
 
huwa sipendi watu wanao amini kitu kikisemwa na mtu fulani kina ukweli, huku akiacha na uhalisia wa mambo. Kwa mfano juzi nilikaa na mpuuzi fulani anadai rais wa ivory coast anayeng'ang'ania madaraka inabidi tuu aachia kwasababu hata marekani haimuungi mkono. Aibu kwako ngwendu

hili sura lako limenichefua sana roho, naomba ulibadilishe plz... Plz... Plz....
 
Back
Top Bottom