lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
Natoa ushauri wa bure kwa wasanii wetu kina Diamond, Ney, Kiba, Kingwendu, JB, Wolper na wengineo waende English Course ili angalau watoe kazi kwa lugha ya Kiingereza au Kifaransa. Tunafahamu wanakwama hapa kwa sababu ya lugha gongana.
Tunajua wasanii wetu kina Diamond na wenzake wakipata mialiko Ulaya huishia kuwatumbuiza Watanzania wachache waishio kule, lakini ni nadra kuwakuta Wazungu kwa sababu wanakua hawajui muimbaji anaimba kitu gani?
Wakijua atleast Kiingereza na Kiifaransa itasaidia kuwapush up kidogo hasa kimataifa.
Nawasilisha..
Tunajua wasanii wetu kina Diamond na wenzake wakipata mialiko Ulaya huishia kuwatumbuiza Watanzania wachache waishio kule, lakini ni nadra kuwakuta Wazungu kwa sababu wanakua hawajui muimbaji anaimba kitu gani?
Wakijua atleast Kiingereza na Kiifaransa itasaidia kuwapush up kidogo hasa kimataifa.
Nawasilisha..