Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
kuna mtindo umeanzishwa na wasanii wa kibongo kupiga picha na mavazi yenye alama za freemason na wengine kuzionesha ishara hizo hadharani ili tuamini mali walizonazo ni za chama hicho.mfano wa wasanii hawa ni pamoja na kanumba,wolper,wema sepetu,diamond na wengine wengi.
Ninachowaomba watanzania wenzangu tuwachunguze hawa watu yaweza wakawa ni wauza wadawa (drag supplier) wakubwa na wanatumia safari zao za ulaya kwenda kubeba mzigo kwa kutuhadaa na show.
Naomba tusijaji utajiri wa watu kwa kivuri cha ufreemason kumbe kuna behind the scene.We have to thing big concerning this issue.
wEeKeNd NJEMA
Ninachowaomba watanzania wenzangu tuwachunguze hawa watu yaweza wakawa ni wauza wadawa (drag supplier) wakubwa na wanatumia safari zao za ulaya kwenda kubeba mzigo kwa kutuhadaa na show.
Naomba tusijaji utajiri wa watu kwa kivuri cha ufreemason kumbe kuna behind the scene.We have to thing big concerning this issue.
wEeKeNd NJEMA