Achana na hao mavuvuzela wa sisi m. Sugu nenda mbele wala usiwakumbuke kama waliwahi kuwapo. Hongera kwa kuonyesha njia na kwa ku determine. ulizungumza kimzaha kuwa utawakomesha kwa kwenda mjengo na wakakuona mwehu sasa ndoto zimetimia. Mungu wangu akutunze na kukupigania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.