Wasanii wakiume kwanini mnapenda kuvaa heleni?

Hawapendi kuvaa heleni bana. . . wanapenda kuvaa hereni. Ni pambo tu kama mengine.

ha! Lizzy.pambo?huoni kwamba wanaingilia mapambo ya dada zetu?kuna mapambo mengi sana ya kiume ni vyema wangebobea kwayo.
 
Hayo ni kawaida hapa Kenya. Hakimu mkuu Wa Kenya ana hereni. Pia mbunge aitwaye Sonko huva mbili kwenye makao ya bunge.
 
Hayo ni kawaida hapa Kenya. Hakimu mkuu Wa Kenya ana hereni. Pia mbunge aitwaye Sonko huva mbili kwenye makao ya bunge.

kaka/dada Kwa kenya ni sawa.maana hata ile sheria ya kuoana watu wenye jinsia moja ilipitishwa.sasa kwa hawa watanzania wao wanavaa ili waonekane wasanii au?kifupi nilihitaji kujua zaidi maana mie pia nime anza kuandaa mikakati mpaka mwezi wa 6.naweza nikatoa filam yangu ya kwanza.sasa kama hereni ni ni wajibu wa msanii basi nami nitoboe.
 
Suala la wasanii wa kiume kuvaa hereni , sidhani kama ni tatizo as long as umesema ni msanii, sanaa ni usanii na katika usanii kuna mambo mengi ambayo wasanii wanaweza kuyafanya ikiwemo kuvaa hizo hereni, hereni ni swaga tu.Kusema hivyo sina maana ni lazima hapana na sina maana usipovaa hereni wewe si msanii hapana, ila ni jambo ambalo linaruhusiwa na la kawaida kabisa kwa wasanii. Sizungumzii suala la maadili ama tamaduni hapana hiyo ni mada nyingine na ukiichanganya hapo itakuwa ni kosa.
 
Suala la wasanii wa kiume kuvaa hereni , sidhani kama ni tatizo as long atjs umesema ni msanii, sanaa ni usanii na katika usanii kuna mambo mengi ambayo wasanii wanaweza kuyafanya ikiwemo kuvaa hizo hereni, hereni ni swaga tu.Kusema hivyo sina maana ni lazima hapana na sina maana usipovaa hereni wewe si msanii hapana, ila ni jambo ambalo linaruhusiwa na la kawaida kabisa kwa wasanii. Sizungumzii suala la maadili ama tamaduni hapana hiyo ni mada nyingine na ukiichanganya hapo itakuwa ni kosa.
bro umefafanua vyema sana.pia umenifanya nitambue kosa langu la ki-uandishi.kwamba msanii anaweza kujipamba atakavyo ili hadhira waelewe kwa wepesi.inawezekana mada hii ningeuliza juu ya tamaduni au mila.hembu basi niweke sawa kuhusu mila na tamaduni.lengo ni kupata ukweli na umuhimu wa uvaaji hereni.
 
kaka/dada Kwa kenya ni sawa.maana hata ile sheria ya kuoana watu wenye jinsia moja ilipitishwa.sasa kwa hawa watanzania wao wanavaa ili waonekane wasanii au?kifupi nilihitaji kujua zaidi maana mie pia nime anza kuandaa mikakati mpaka mwezi wa 6.naweza nikatoa filam yangu ya kwanza.sasa kama hereni ni ni wajibu wa msanii basi nami nitoboe.

Hakuna Sheria kama hiyo. Bado Hilo Jambi nimarufuku. Toboa
 
kaka/dada Kwa kenya ni sawa.maana hata ile sheria ya kuoana watu wenye jinsia moja ilipitishwa.sasa kwa hawa watanzania wao wanavaa ili waonekane wasanii au?kifupi nilihitaji kujua zaidi maana mie pia nime anza kuandaa mikakati mpaka mwezi wa 6.naweza nikatoa filam yangu ya kwanza.sasa kama hereni ni ni wajibu wa msanii basi nami nitoboe.

Hakuna Sheria kama hiyo. Bado hilo jama ni nimarufuku. Toboa tuu Kaka. Kwani siunajijua na unajiamini?
 
Nauliza tu.utaona msanii kama hajatoga sikio basi kavaa heleni za kubandika.
Wanapenda kujikwatua kama wadada. Nywele wanasuka, usoni wanapaka poda... Ipo siku watasemeshwa, ndipo watakaporuka mita 100.
 
Hizo ni swagga tu, mbona wamasai wanavaa hereni na kusuka nywele hivyo vitu haviongezi au kupunguza uanaume wa mtu.
 
Back
Top Bottom