naomba kuuliza japokuwa natoka nje ya maada
nasikia kuwa HALIMA MDEE nae anakula haya madude
hata macho ya slaa yanatoa taswira ya unga
naomba kuuliza japokuwa natoka nje ya maada
nasikia kuwa HALIMA MDEE nae anakula haya madude
Mmemsahau kamanda Mbowe
baada ya langa kusanuka na kuamua kutemana na mambo ya madawa,ma heroin,cocaine na marijuana,leo katika pitapita yangu mitaa ya kinondon hospital nikamegewa pande kua vijana wa bongo fleva wanaongoza kwa kujidunga,eti kwa kisingizio cha kuwapa stim na kuweza kuandika mistari inayo bamba! Na hawa ni baadhi tu.NGWEA,MCHIZ MOX,TID,KABAISA AKA BLUE,DARK MASTER.LORD EYEZ,LADY JAYDEE,NURA,P.FUNKY,DAZBABA,AFANDE SELE,Na wengine kibao,mi nawashaur wamwige langa,ikiwezekana warud shule.jitazame
Sisi acha tuwaanike hapa...
Anaewasaidia yupo Magogoni
Mbona umemsahau yule rapa omba omba wa twanga pepeta...