Wasanii wa Tanzania kutumika vibaya Kisiasa- HAWANA UELEWA WA MAMBO YA JAMII au?

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Wasanii wa TZ wamekuwa mstari wa mbele kudai ni kioo cha JAMII, wanaelimisha, kuburudisha na mengineyo. Swali inakuwaje wasanii hawa hawa wa TZ ambayo jamii inamatatizo kibao na mfumo wa utawala, ambao kwa kweli jamii imechoka kudanganywa na CCM, harafu wasanii/kioo cha jamii kinashiriki kuhamasisha chama cha mafisadi, au chenye kukumbatia mafisadi, chama ambacho kimsingi ndo chanzo cha matatizo ya jamii ya WaTZ kuendelea kubaki Madarakani??

Mfano, jamii imwelewe vipi msanii ambaye anashiriki kampeni za ccm kuvuta/kujaza watu kwenye mikutano ili mafisadi hawa watoe hotuba, msanii ambaye nyimbo zake zinatumika kuendesha kampeni za ccm? JE HAWA JAMII INAPASWA KUSUSA KAZI ZAO KABISA AU inakuwajem msanii ambaye kazi yake inatumika kama silaha kuangamiza waTZ?

Tuwatenge wasanii hawa au tufanyeje?
 
Wasanii wa TZ wamekuwa mstari wa mbele kudai ni kioo cha JAMII, wanaelimisha, kuburudisha na mengineyo. Swali inakuwaje wasanii hawa hawa wa TZ ambayo jamii inamatatizo kibao na mfumo wa utawala, ambao kwa kweli jamii imechoka kudanganywa na CCM, harafu wasanii/kioo cha jamii kinashiriki kuhamasisha chama cha mafisadi, au chenye kukumbatia mafisadi, chama ambacho kimsingi ndo chanzo cha matatizo ya jamii ya WaTZ kuendelea kubaki Madarakani??

Mfano, jamii imwelewe vipi msanii ambaye anashiriki kampeni za ccm kuvuta/kujaza watu kwenye mikutano ili mafisadi hawa watoe hotuba, msanii ambaye nyimbo zake zinatumika kuendesha kampeni za ccm? JE HAWA JAMII INAPASWA KUSUSA KAZI ZAO KABISA AU inakuwajem msanii ambaye kazi yake inatumika kama silaha kuangamiza waTZ?

Tuwatenge wasanii hawa au tufanyeje?


weekend iliyopita StarTV walikuwa na kipindi kilichokwenda kwa jina la wasanii na siasa, mrisho mpoto alikwa ndani ya nyumba na Beatrice, muimba nyimbo za kuabudi.

Nilifurahi sana maana mada hiyo ilikwenda sambamba na hoja kama wasanii wanajitambua au la? leo umepoamua kushiriki kampeni kwa nguvu zote ukipigia chama cha siasa, wakati washabiki wako, wako kila chama cha siasa, msanii huyu anakuwa na uelewa wa nafasi yake katika jamii au limbukeni? hasa ukijua vyama vyaja na kupita jamii iko hadi kiama.

Hongereni STAR TV kwa kutoa fursa tena kujadili suala hili kwenye media aina nyingine tofauti na hii.
 
Msanii umechangia nini tanzania ukitoa burudani ambayo pia tunalipia? unatumika kwa manufaa ya jamii au mafsadi???

Zamani mtu kuwa msanii, anakuwa na akili nyingi sana na maono marefu ndo maana nyimbo za zamani hadi kesho zikipigwa au sanaa yoyote ya zamani ukiiona leo unapata mafundisho na burudani bila mkopo wowote, hebu firki sikiri mimi maskini, sizitaki mbichi hizi, roza na juma, heka heka mtoni, andunje, cha wageni na cha wote, sometime man, hawa the bus driver, fast money, this time tomorrow, not yet uhuru, the mine boy, the river between, ikemfuna na wengine?? hadithi hizi tamu hadi kesho.

LEO INAKUWAJE watu ambao wanakataliwa na jamii ambayo unaitegemea ktk kufanikisha kazi zako wanakuwa RAFIKI ZAKO, watu wachafu kama CCM wewe unaalikwa eti kukusanya watu, yaani unatumika kuudanganya umma wa watanzania harafu unadai fedha na heshima???? mbona CDM haitumii wasanii kukusanya watu??? AIBU wote mnaofanya hivyo tunawajua. Mnatusaliti na tunawamaindi; HAMUONI CCM wanatuibia, kwanza wanawaibia sana nyinyi sasa munawasaidia kutufanya ****, tuwasaidieje???
 
Back
Top Bottom