figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
- Thread starter
- #21
Si mchezo. MiaNdio uwezo wa kutunga ,ukiangalia wasanii wengi wa hicho kikundi labdas umuondoe mheshimiwa Temba life yao ya utotoni haina tofauti na watoto manunda,si unajua tena watoto wa uswazi msosi kwao ndio kitu wanachokiona kama kipimo cha uwezo