Wewe laki? mie hata alfu 50 simpi maana imeshatepeta na imechakazwa mno, sidhani kama ina ladha tena
Hivi hivo vinonino viko tofauti na vya wengine?
Hahaaa kuna lile lulu kimwana wa twanga pepeta yaani hatq elfu 30 unalipakata
Bora useme ww ndgu yng manake?????????????????????????????????????????????????Ney naye anatapatapa tu, kwani wakihongwa laki 6 yeye inamhusu nini? yeye badala ya kukomaa na mziki wake ambao hauzi anafuatilia wasanii wa kike wa movie!