hii imesemwa na ney wa mitego kwenye take one ya zamaradi kasema kuwa wasanii wa bongo movie wanajiuza kuanzia laki nne mpaka sita
na ndio maana kawaita makahaba wa viwango vya juu
Ney naye anatapatapa tu, kwani wakihongwa laki 6 yeye inamhusu nini? yeye badala ya kukomaa na mziki wake ambao hauzi anafuatilia wasanii wa kike wa movie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.