Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
BAADHI ya wasanii nyota kutoka kituo cha Tanzania House of Talents (THT), wamealikwa na msanii nyota nchini Marekani Usher Raymond kupitia taasisi yake ya New Look Foundation iliyopo katika jiji la Atlanta.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana jana, ziliwataja wasanii hao kuwa ni pamoja na Mwasiti, Amini, Barnaba, Ditto, Linah pamoja na mpiga kinanda Mose Delema.
Mwanzilishi wa THT, Ruge Mutahaba
Mtangazaji wa kituo cha redio 88.4 Clouds FM, Hamis Mandi aka B-Dozen
Nyota hao ambao wataambatana na mwanzilishi wa THT Ruge Mutahaba, pamoja na mtangazaji wa kituo cha 88.4 Clouds Fm Hamis Mandi B Dozen wakiwa huko watapata kutumbuiza katika jukwaa moja na Usher