Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Mimi naamini ya kuwa kila mtanzania ana haki ya kuamua ni chama kipi ajiunge nacho au chama gani akichangie. Kitu ambacho ningependa kujua kutoka kwa hawa wasanii ni kwa nini wanaichangia CCM? Zaidi, ni kitu haswa kilichowavutia kutoka kwenye utwala wa CCM ?