Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kama mdau wa muziki kwa muda sasa nafuatilia bifu la Ruge V/s Sugu na wasanii wenye uchungu na kazi zao.
Huyu Ruge sio mzaha jamaa anawanyonya sana wasanii ana anachukua ujinga na elimu yao finyu kuendelea kwuakandamiza...jana nimesikia clouds wameandaa tamasha najua hii ni kulifanya tamasha la sugu likose shangwe.
Katika list ya wasanii wapi Manzese Crew,Afande sele na wengine.....hawa ni moja ya watu ambao nyimbo zao zilikuwa hazipigwi redioni kisa walijitambua na uwizi wa Ruge na Clouds......Sugu kwenye tamasha lake alitangaza wasanii hao watakuwepo na wata perfom na Ruge katia ndimu nae kawatangaza watakuwepo......
.....Nawashauri wasanii wawe makini na Ruge anawachonganisha sio mtu mzuri kwenye maisha yao ya muziki
Huyu Ruge sio mzaha jamaa anawanyonya sana wasanii ana anachukua ujinga na elimu yao finyu kuendelea kwuakandamiza...jana nimesikia clouds wameandaa tamasha najua hii ni kulifanya tamasha la sugu likose shangwe.
Katika list ya wasanii wapi Manzese Crew,Afande sele na wengine.....hawa ni moja ya watu ambao nyimbo zao zilikuwa hazipigwi redioni kisa walijitambua na uwizi wa Ruge na Clouds......Sugu kwenye tamasha lake alitangaza wasanii hao watakuwepo na wata perfom na Ruge katia ndimu nae kawatangaza watakuwepo......
.....Nawashauri wasanii wawe makini na Ruge anawachonganisha sio mtu mzuri kwenye maisha yao ya muziki