WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Msanii wa muziki wa kizazi kipya "Sir" Juma Nature anakabiliwa na tuhuma za "kubaka" baada ya kukaa kwa siku kadhaa na binti wa chini ya amiaka 18.Endapo mashtaka yatasimama akaonekana na hatia, kuna hatari ya kufungwa kwa muda usiopungua miaka 35 jela chini ya sheria ya makosa ya kujamiiana ( Sexual Offences Special Provisions Act 1998) .
Kama vile haitoshi, matangazo yanayodhaminiwa na Johns Hopkins yanayotolewa kwenye Radio ( Radio One) kuhusu kuwakinga mabinti dhidi ya ukware wa wanaume watu wazima kama njia ya kupambana na maambukizi ya ukimwi ambamo Sir Nature ameshiriki yamesitishwa.Vilevile filamu ya FATAKI nayo alishiriki - udhamini wa John Hopkins umesitishwa hadi itakapothibitika hana hatia.
Mbona ni pigo kwa wasanii! Inabidi wasanii waeleweshwa kwamba kuwa star kunaendana na risks ( occupational hazards!!)kama kujikuta kwenye matata na kubanwa na sheria.Huyu Nature inawezekana kabisa hakujua kuwa huyo binti yuko chini ya 18 ( she is 16 yrs) na hata angejua miaka, bado anaweza akawa haujui kuwa kuwa na mahusiano na under 18 hata kama kuna kuridhia ni statutory rape.Kazi ipo.
Kama vile haitoshi, matangazo yanayodhaminiwa na Johns Hopkins yanayotolewa kwenye Radio ( Radio One) kuhusu kuwakinga mabinti dhidi ya ukware wa wanaume watu wazima kama njia ya kupambana na maambukizi ya ukimwi ambamo Sir Nature ameshiriki yamesitishwa.Vilevile filamu ya FATAKI nayo alishiriki - udhamini wa John Hopkins umesitishwa hadi itakapothibitika hana hatia.
Mbona ni pigo kwa wasanii! Inabidi wasanii waeleweshwa kwamba kuwa star kunaendana na risks ( occupational hazards!!)kama kujikuta kwenye matata na kubanwa na sheria.Huyu Nature inawezekana kabisa hakujua kuwa huyo binti yuko chini ya 18 ( she is 16 yrs) na hata angejua miaka, bado anaweza akawa haujui kuwa kuwa na mahusiano na under 18 hata kama kuna kuridhia ni statutory rape.Kazi ipo.