Wasanii 10 wa filam na Muziki wenye mafanikio Bongo

mmh,kuna wasaniii wamedumu ktk fanii,na kazi zao zlikubalika kuliko kna diamond,hebu mchek ferooz tang daz nundaz,j.nature,a.y,prof jay,mwana f.a n.k,then tafakar kwann wastutajie vwango halis va fedha zao sahh?,mi nahis hawa wameangalia wauza swaga na sura wanaoinuliwa na media tu,scandal kibao
 
Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.

1. Mzee Yusuf
2. Lady Jay dee
3. Kanumba
4. Ray
5. Rose mhando
6. Professa Jay
7. AY
8. Diamond
9. JB
10. Ali kiba

Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba

Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?

hii list yako mkuu,mmh!ray c wapi na wapi sasa?labda mapouda!
 
NAZAN KUNA WASANI WENGINE WANA VYANZO BINAFSI ZAID YA MZIKI ndo maana hawajawaweka kipaumbele
 
Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.

1. Mzee Yusuf
2. Lady Jay dee
3. Kanumba
4. Ray
5. Rose mhando
6. Professa Jay
7. AY
8. Diamond
9. JB
10. Ali kiba

Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba

Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
Kwahiyo AY ana mafanikio kuliko profesa J?UPUUZI HUU
 
Wamewekwa randomly au ni kwa kufuata anayeongiza kwa mafanikio then wanaofuatia au ni vipi?
Mbona haijakaa vizuri!
 
Ray c? kweli walitumia kipimo cha kupimia matetemeko ya ardhi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom