Emma Kayanda
Member
- Apr 1, 2012
- 36
- 6
kanumba no.1 kwa umaarufu kitaa akifuatiwa na mr 2 kisha prof jay waliodum kweny game kwa muda mrefu.
Hapo kigezo kilichotumika ni kuwa na wake 2 halali wa ndoaTru hata mimi niliweka mshangao mrefu sana, niliposikia first position ni Mzee Yusuff....!!!!
Mapooda aka bwimbwi aka ngada hayamtupi mtu.
jamani eh huyo mzee yusuf anastahili namba moja nakaa nyumbani huku ana scania kama uchafu!nyumba ndo ucseme!maduka kibao!hotel 3 star mbili!ila huwa apendi kujisifia
Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.
1. Mzee Yusuf
2. Lady Jay dee
3. Kanumba
4. Ray
5. Rose mhando
6. Professa Jay
7. AY
8. Diamond
9. JB
10. Ali kiba
Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba
Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
Kwahiyo AY ana mafanikio kuliko profesa J?UPUUZI HUUJana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.
1. Mzee Yusuf
2. Lady Jay dee
3. Kanumba
4. Ray
5. Rose mhando
6. Professa Jay
7. AY
8. Diamond
9. JB
10. Ali kiba
Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba
Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?