King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
mwingine ni Matonya ana yadi ya magari na bonge la hotel mjini Tanga.
Mapooda aka bwimbwi aka ngada hayamtupi mtu.
mwingine ni Matonya ana yadi ya magari na bonge la hotel mjini Tanga.
Jana kwenye clouds tv wametoa majina kumi ya wasanii wenye mafanikio Bongo kwenye muziki na filamu. Majina ni kama ifuatavyo.
1. Mzee Yusuf
2. Lady Jay dee
3. Kanumba
4. Ray
5. Rose mhando
6. Professa Jay
7. AY
8. Diamond
9. JB
10. Ali kiba
Kwa ukweli sijui wametumia vigezo gani haswa labda kama ni ukongwe/umaaraufu/pesa/heshima/mchango etc hawakubainisha wazi.
Kwa ku-assume vigezo vyote hivyo au kimojawapo kwa maoni yangu nahisi kuna wasanii waliostahili zaidi kuwepo top 10 lakini hawajawekwa, mfano Mr. II . Hakuna ubishi katika wasanii wote wa kizazi kipya huyu bwana kapata mafanikio kuliko wasanii wote, mchango wake kwa muziki wa kizazi kipya, kwa wingi wa albamu alizitoa na mafanikio zaidi alipoutwaa uheshimiwa, huyu alistahili kuwepo kwenye top 10! Wasanii wengine ambao nahisi nao walistahili kuwepo top 10 ni Monalisa, Juma Nature, Ray C, Khadija Kopa, Kapteni John Komba
Unaonaje wewe hiyo list ya clouds? Msanii gani hakustahili kabisa kuwepo top 10, na msanii gani alistahili zaidi kuwepo top 10? na wewe je unaweza kutupa top 10 yako ya wasanii 10 wenye mafanikio Bongo?
Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
I need my head examined???
Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
I need my head examined???
Huyu jamaa hata kama ni mafanikio ya hela alitakiwa kuwa nayo maana ana vitu vingi sana vinavyohusiana na mziki, anapiga vyombo vya mziki takribani vyote, anatunga nyimbo, anaghani, anaimba na bado anamiliki bendi, kwa hiyo kama kawa wa kwanza mimi sishangai. Kwa kifupi Mzee Yusuf ni full vipaji acha awe na mafanikio.tetesi zinadai wolper sio pesa zake alizotoa, zile ni pesa za mchumba aliyempata, ambaye huyo mchumba inasemekana ana pesa ile saana,
In short nabaki suprise wametumia vigezo gani , hivyo vigezo vilivyomuweka mzee yusuff kuwa no. 1 !!!
Walisema amejenga nyumba kumi
na anamiliki duka la kifahari.
kutoa ni moyo ndg.
tetesi zinadai wolper sio pesa zake alizotoa, zile ni pesa za mchumba aliyempata, ambaye huyo mchumba inasemekana ana pesa ile saana,
In short nabaki suprise wametumia vigezo gani , hivyo vigezo vilivyomuweka mzee yusuff kuwa no. 1 !!!
Wolper ametoa USD 10,000 na asiwepo hapa???
I need my head examined???
wapo watu wanadai wolper yupo fremason
marehemu bado ana ht
Anapiga hela nyingi sana za show, but hana muda mrefu kwa game, ni miaka takribani mitatu tu toka atoke kisanii. hatuwezi jua atadumu kwa miaka mingapi kwenye peak. huyu angepewa miaka 5 labda ndio awekwe kwa list ya wasanii wenye mafanikio, kama kweli ataendelea kuwa kwenye peak ndio ingekuwa kweli anastahili.kwa Diamond hapo nakubali,coz uyu dogo ana ingiza pesa ndefu sana kwa wiki....fikiria show yake moja haipungui mil tatu,kwa wiki anapiga show zisizopungua tatu na kila siku anapokea offer ya show.....je kwa mwezi anaingiza kiasi gani?
inategemea hizo nyumba zake ni za gharama ya kiasi gani-kama wangetoa na picha za mijengo yao ingekuwa jambo la maana-maana kuna nyumba na vibanda
kutoa ni moyo ndg.
Hivi lile Tangazo la la uzazi wa mpango ile nyumba ndo ya mzee Yusuph kweli wasanii wa bongo wana maendeleo