Priva mella
Member
- Oct 31, 2012
- 81
- 28
Ndugu zangu nawasalimia katika jina la bwana kwa wale ndugu zangu wakristo,Asalaam alaykum ndugu zangu waislamu nimara yangu yakwanza kuingia humu nimeamua kutumia salamu zote hizo kwa lengu lakuleta usawa kwenye dini zote msije kuniita mbaguzi wadini kama vuguvugu la udini linavyotaka kusambaa taratibu kwenye udongo wa Nyerere