Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,558
Jana katika Taarifa ya habari TBC1 kwa mlioangalia kuna Bwana mmoja kutoka Kenya alinaswa kwenye mtego wa kutaka kumuuza Albino kwa Tshs 400M.
Kama nilimuelewa vizuri, yule kamanda wa polisi mkoani Mwanza alivyokuwa anaeleza ni kwamba, Walipata habari kuwa huyu bwana huwa anauza viungo vya Binadamu, Ikabidi wampe order ya kuwaletea hivyo viungo ili wamuingize mtegoni.
Huyu jamaa aliamua kuwaletea Binadamu mzima mzima wamchinje wenyewe.
Kwa upande wangu naona hii njia iliyotumika kumuingiza huyu jamaa mtegoni sio sahihi kabisa.
Hivi kama angeamua kumchinja yule mlemavu Ingekuaje?
Yaani kweli mnampa m2 ofa ya 400m awaletee viungo vya albino ndio mjue kama kweli anafanya biashara hiyo?
Hiki si kishawishi tosha kabisa hata kama alikua haifanye inabidi aifanye!!
kidogo hapa naona mawingu!
Kama nilimuelewa vizuri, yule kamanda wa polisi mkoani Mwanza alivyokuwa anaeleza ni kwamba, Walipata habari kuwa huyu bwana huwa anauza viungo vya Binadamu, Ikabidi wampe order ya kuwaletea hivyo viungo ili wamuingize mtegoni.
Huyu jamaa aliamua kuwaletea Binadamu mzima mzima wamchinje wenyewe.
Kwa upande wangu naona hii njia iliyotumika kumuingiza huyu jamaa mtegoni sio sahihi kabisa.
Hivi kama angeamua kumchinja yule mlemavu Ingekuaje?
Yaani kweli mnampa m2 ofa ya 400m awaletee viungo vya albino ndio mjue kama kweli anafanya biashara hiyo?
Hiki si kishawishi tosha kabisa hata kama alikua haifanye inabidi aifanye!!
kidogo hapa naona mawingu!