Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Nahitaji taarifa sahihi kuhusu nini shekhe..Kwamba Gadafi ni gullible au ni kiongozi wa kiimla aliyeingia madarakani kwa mtutu wa bunduki kama sio kifaru? Hebu specify basi nikuchukulie serious.Nimekupata unahitaji taarifa sahihi tafuta njia nyengine badala ya kutegemea vyombo vya kimagharibi vikupe taarifa,