Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

Kwa criteria yako ya lugha uliyotumia naona upo wrong sana! Ungeniambia labda mtu wa kwanza kuishi kwenye ardhi ya uchagani aliishi Vunjo na wengine wote ni wahamiaji, ningekuelewa kidogo. Mimi nimeishi uchagani kwa zaidi ya miaka 30. Sehemu ya Vunjo ndio wametofautiana sana,,,,,mkirua hataki kuitwa mkilema, mkilema hataki kuitwa mmarangu licha ya kwamba wote hawa ni waanjo! sasa sijui unaposema wote hawa lao moja unamaanisha nini!!
Wewe ndo ulikuwa H/boy wetu nini? nakumbuka kuna H/boy wetu flani tulimpeleka shule baada ya kukata majani ya ng'ombe na kuzoa samadi sana!!
Alishukuru sana yule kijana........alikuwa ana kiburi kama wewe lakini alikuwa anafanya kazi kama tractor.
 
Mimi nafanya utafiti..........ninaona na kusikia majina kama Prof. masawe, Prof. Mushi, Dr. Kundi, Dr. Kessy nakadhalika,

Nataka kujua kama kuna mtu anajua au kuwasikia hawa......Shehe Macha, Shehe Mosha, Shehe Tarimo ..........

Ni kautafiti kadogolakini katasaidia upatikanaji wa haka kacheti kangu.
 
taja hao wasomi wako wa Marangu kwa majina tukusaidie wanatoka wapi mmoja baada ya mwingine....maana unaweza ukawa unachanganya wachagga wa sehemu nyingine kwa kuwaita Wamarangu

Jamii ikishaanza kubaguwana wenyewe kwa wenyewe basi kazi ipo. na leo tunaomba mtueleze ni wachaga wepi wanaongoza kwa ujambazi.
 
Wewe unaejuwa umeongea nini? mimi nifanye research ya wachaga ya kazi gani! sana sana si nitagunduwa tu kuwa wengi wao ni zuruma na wezi ?
si wewe uliyekuwa unasema ni wasomi sana???
sasa wamekuwa wazulumati na wezi tena!!!!
 
Old Moshi ilikuwa ndio makao ya serikali ya Wajerumani. Hata hivyo ni eneo la Uru.
 
si wewe uliyekuwa unasema ni wasomi sana???
sasa wamekuwa wazulumati na wezi tena!!!!
Amenitaka nifanye Research, sasa ndio nimempa angalizo matokeo ya Research yangu nina wasi wasi yasidondokee hapo!!
 
Jamii ikishaanza kubaguwana wenyewe kwa wenyewe basi kazi ipo. na leo tunaomba mtueleze ni wachaga wepi wanaongoza kwa ujambazi.

Ujambazi upo duniani kote ila kwa mkoa wa Kilimanjaro wachagga sio wezi,wezi wakubwa ni kabila la wakibosho
 
Mimi nafanya utafiti..........ninaona na kusikia majina kama Prof. masawe, Prof. Mushi, Dr. Kundi, Dr. Kessy nakadhalika,

Nataka kujua kama kuna mtu anajua au kuwasikia hawa......Shehe Macha, Shehe Mosha, Shehe Tarimo ..........

Ni kautafiti kadogolakini katasaidia upatikanaji wa haka kacheti kangu.
..............kwa kuwa utafiti unaendelea nao, endelea na hayo pia, cheti chako tukuhangaikie sie ? mbona mkeo hatusaidiani !
 
wewe makupa billa shaka historia ya hawo watu wanaoitwa wachagga una hawa watu mmnamo mwaka
mwaka 1736 hawa watu waliahamia maeneo ya Rombo na kirua vunjo wakitokea somalia na baadae wakatawanyika mpaka maeneo ya machame na kahe waangalie sana hawa watu pua zao na shingo ni jamii ya somalia wapare wao ninnn jamii ya matonglwa wametokea magharibu mwa sudan hivyo kwa ufupi hawa watu siyo watanzania na muhasa na kumsihii sana huyu mkurungenzi wa vitambilisho vya taifa asaiwape wachagga uraia ninao ushaidi wa kutosha na nitauwakilisha utakapo takiwa

kikupacho raha na uchungu kitakupa ,ngamia mzee amerejea sasa toka porini
 
Wewe unaejuwa umeongea nini? mimi nifanye research ya wachaga ya kazi gani! sana sana si nitagunduwa tu kuwa wengi wao ni zuruma na wezi ?

Hata research huwezi kufanya maana hata kiswahili chenyewe cha shida.Basi kajifunze kiswahili ujue japo kuandika maneno.
 
wewe makupa billa shaka historia ya hawo watu wanaoitwa wachagga una hawa watu mmnamo mwaka
mwaka 1736 hawa watu waliahamia maeneo ya Rombo na kirua vunjo wakitokea somalia na baadae wakatawanyika mpaka maeneo ya machame na kahe waangalie sana hawa watu pua zao na shingo ni jamii ya somalia wapare wao ninnn jamii ya matonglwa wametokea magharibu mwa sudan hivyo kwa ufupi hawa watu siyo watanzania na muhasa na kumsihii sana huyu mkurungenzi wa vitambilisho vya taifa asaiwape wachagga uraia ninao ushaidi wa kutosha na nitauwakilisha utakapo takiwa

kikupacho raha na uchungu kitakupa ,ngamia mzee amerejea sasa toka porini
Ngamia mzee sasa unataka wanyimwe vitambulisho baadae watapelekwa wapi
 
Inawezekana ukawa sahihi maana katika mkoa wa Kagera pia wahaya ni wa Bukoba Vijijini, Misenyi, na Muleba! Karagwe ni wanyambo, Biharamulo ni wasubi na wasukuma. Ngara ni waangaza. Hivyo huwezi sema kagera ni mkoa wa wahaya.

Mbeya hivyohivyo; Wanyakyusa ni Tukuyu, kyera na Rungwe. Wasafwa ni Mbeya mjini na vijijini, Mbozi na Ileje ni wandali, wakati Chunya ni wambungu!
upo hapo?
 
Inawezekana ukawa sahihi maana katika mkoa wa Kagera pia wahaya ni wa Bukoba Vijijini, Misenyi, na Muleba! Karagwe ni wanyambo, Biharamulo ni wasubi na wasukuma. Ngara ni waangaza. Hivyo huwezi sema kagera ni mkoa wa wahaya.

Mbeya hivyohivyo; Wanyakyusa ni Tukuyu, kyera na Rungwe. Wasafwa ni Mbeya mjini na vijijini, Mbozi na Ileje ni wandali, wakati Chunya ni wambungu!
upo hapo?

Hapo nimekuelewa hawa watu wa kilimanjaro ukiwaeleza ukweli hataki kusikia mfano wakibosho ukiwaeleza kuwa wao.si wachagga inakuwa kama umewatusi vile
 
Wamarangu masharobaro,watoto wa mama,wanakula hela za mababu zao walizovuna kipindi cha mkoloni,zikiisha watakoma!
 
Kutokana na utafiti wangu niliofanya mkoani kilimanjaro nimegundua ya kwamba mkoa wa kilimanjaro una makabila tofauti si chini ya saba kama ifuatavyo:wapare,wagweno,warombo,wamachame,wakibosho,wasiha,wachagga(vunjo),na wakahe.Kilichonisaidia kwenye tafiti yangu na kugundua kuwa watu wa vunjo ndio wachagga ni kwamba wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni tofauti kabisa na hayo makabila mengine,na ikumbukwe ya kwamba jamii inaweza kujitambulisha ya kuwa wao ni kabila moja pale tu ambapo jamii husika wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni moja.
Nawasilisha



Ukiondoa wapare, wagweno na wengine wa Same na Mwanga, the rest are the chaggas.
However, Chagga is not a tribe in anthropological meaning. The Chagga do not share the same language,and thus do not qualify to be a tribe/ethenic group. The tribe (ethnic group) is a group of people who shares the same language. Kwa maana hiyo, Warombo, Wavunjo, Waold Moshi, Wauru, Wamachame, Wamarangu, Wanarumu, Wasiha na Wakibosho sio kabila moja. A simple example.

For layman point of view: unaposema wagosi wa Kaya una maanisha nini? Kwa kawaida wengi wana fikiria ni wabondei, wasambaa, wadigo, wasegeju, wadigo (mlango wa nane). Lakini haya ni makabira tofauti na yako tofauti (ingawa kuna mambo yanafanana).


Kwa maana hiyo, hakuna kabila la wachagga,...... these are different ethnic groups which do not share common language...
 
Inawezekana ukawa sahihi maana katika mkoa wa Kagera pia wahaya ni wa Bukoba Vijijini, Misenyi, na Muleba! Karagwe ni wanyambo, Biharamulo ni wasubi na wasukuma. Ngara ni waangaza. Hivyo huwezi sema kagera ni mkoa wa wahaya.

Mbeya hivyohivyo; Wanyakyusa ni Tukuyu, kyera na Rungwe. Wasafwa ni Mbeya mjini na vijijini, Mbozi na Ileje ni wandali, wakati Chunya ni wambungu!
upo hapo?


Hii ni Tanzania nzima: Iringa mjini ni wahehe, Makete ni wakinga; Mjombe ni Wabena

Tanga: Lushoto ni wasambaa; Muhuza ni wabondei/wasmbaa; Koogwe ni wasambaa, wazigua; Handeni ni wazigua; Tanga mjini ni wasigo/wasegeju......
 
Old moshi ni Tarafa na si kabila Kuna tarafa ya old moshi mashariki na magharibi tarafa ya old moshi mashariki kuna vijiji vya tela, mbokomu, mahoma, kikakarara,kisamo,kidia tarafa ya old moshi magharibi kuna vijiji vya mdawi, kirrua, mowo nk..na ndani ya hivyo vijiji kuna mitaa kama maemben, mande, kitahiye, kilimapunda, modoni..kitonyohu...nk..nawasilishe kama mlehu mwenyewe
 
Wewe ndo ulikuwa H/boy wetu nini? nakumbuka kuna H/boy wetu flani tulimpeleka shule baada ya kukata majani ya ng'ombe na kuzoa samadi sana!!
Alishukuru sana yule kijana........alikuwa ana kiburi kama wewe lakini alikuwa anafanya kazi kama tractor.
Namshukuru sana mzee wako alinipeleka shule baada ya kuwatumikia, kwani sasa mimi ndio nawaweka mjini na kuwalisha wewe, mke wako, watoto wako na wazee wako vikongwe!
 
Back
Top Bottom