dwight
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 485
- 165
Ukisema 'wa old moshi' na 'wa moshi ya zamani' kitu ni kile kile ila lugha tu!
Ila sikubaliani na mtoa mada,ninachofahamu ni kwamba wote ni wachaga ila wanatofauti chache za kimatamshi na kimsamiati.
Hivyo kuna lahaja anuwai za Kichaga!
Ila sikubaliani na mtoa mada,ninachofahamu ni kwamba wote ni wachaga ila wanatofauti chache za kimatamshi na kimsamiati.
Hivyo kuna lahaja anuwai za Kichaga!
Mimi napinga kabila kuitwa wa old moshi, haiwezekani kwani Wakoloni wamekuja mwishoni mwa karne ya 18 na tayari kulikuwa watu wanakaa pale. Kiingereza kilikuja na ukoloni, kwa hiyo wape jina lolote wale watu lakini sikubali uwaite eti wa Old Moshi. Nakataa