Kutokana na utafiti wangu niliofanya mkoani kilimanjaro nimegundua ya kwamba mkoa wa kilimanjaro una makabila tofauti si chini ya saba kama ifuatavyo:wapare,wagweno,warombo,wamachame,wakibosho,wasiha,wachagga(vunjo),na wakahe.Kilichonisaidia kwenye tafiti yangu na kugundua kuwa watu wa vunjo ndio wachagga ni kwamba wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni tofauti kabisa na hayo makabila mengine,na ikumbukwe ya kwamba jamii inaweza kujitambulisha ya kuwa wao ni kabila moja pale tu ambapo jamii husika wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni moja.
Nawasilisha
Nawasilisha