Warning: Uzushi kuhusu hayati Chacha Wangwe na Deus Mallya ukome!

Unachosema ni kitu cha Busara sana, afadhali mtu asishiriki kutoa maoni yoyote kama hana la maana la kusema, lakini kujenga tuhuma sizo na msingi wowote inakuwa uchochezi na mzizi wa kuwatenganisha watanzania. ukiwa mshabiki wa CDM au CCM nyote ni watanzania na tuna haki sawasawa.

Mtu huwezi kuongoza nchi kwa uongo.

I agree with you for 100%.
Kuna tabaka la watu wanaodhani kuwa wanaweza kusema uongo daima!
Mbinu za matumizi ya msiba ule kisiasa zimeibuka too late wakati mtu ameshaumia na amekaa gerezani kwa siku 500! Hata hivyo hili litakuwa fundisho kwao kwa sababu hawakutegemea kama Deus Mallya angekata rufaa!..

Aibuu!.
 
Mh,



..





Kumbe weye gamba! hilo povo la kufikiria mtu atandikwe viboko makalioni ni dalili ya pili kuwa umekasirika sana kiasi

ambacho ungeniona live ungeweza kuning'oa kucha na meno kwa tupa!!




Sasa ukisema ushahidi ukiwa clear, watu wanawezaje kuhusisha kifo kile na cdm!?

Nyambaff!!




.

Wewe dogo kwanza jina lako haliniruhusu kuendelea kukujibu!
Inawezekana uko kama hilo jina (Kama unajua maana yake).
 
Ni muda mrefu sasa umepita tangu tuondokewe na mwanasiasa maarufu aliyetikisa sana ndani ya chama chenu cha Chadema.Kinachonifanya nimkumbuke na niingiwe mashaka na sera zenu,ni namna mnavyokazana kueneza hasira na chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao na polisi.Siasa zenu ni kama zile za enzi za akina Musolin ambao walikuwa radhi kuangamiza bunge zima ili kupata uhalali wa kutawala na kutenda maovu dhidi ya maadui zao kisiasa.Chadema kila kukicha mnakuja na sera za ajabu ajabu! Mara mnaanzisha vikundi vya kujilinda,mara eti mmerushiwa mabomu! (kitu ambacho naamina mnaandaa wenyewe) yote haya kupata huruma ya wananchi na kupata kuungwa mkono kwa kutumia damu za watu wasio na hatia! Nalazimika kukumbusha kuhusu Chacha Wangwe kwa kuwa amekufa wakati amejiandaa kuja Dar kusema siri nzito dhidi yenu! Najiuliza je,mlimtoa uhai ili asiseme kuhusu haya yanayojiri sasa!? Na kama sivyo mbona mko bize sana kuligawa taifa? Mnatupeleka wapi? Siwaelewi!
 
Ni muda mrefu sasa umepita tangu tuondokewe na mwanasiasa maarufu aliyetikisa sana ndani ya chama chenu cha Chadema.Kinachonifanya nimkumbuke na niingiwe mashaka na sera zenu,ni namna mnavyokazana kueneza hasira na chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao na polisi.Siasa zenu ni kama zile za enzi za akina Musolin ambao walikuwa radhi kuangamiza bunge zima ili kupata uhalali wa kutawala na kutenda maovu dhidi ya maadui zao kisiasa.Chadema kila kukicha mnakuja na sera za ajabu ajabu! Mara mnaanzisha vikundi vya kujilinda,mara eti mmerushiwa mabomu! (kitu ambacho naamina mnaandaa wenyewe) yote haya kupata huruma ya wananchi na kupata kuungwa mkono kwa kutumia damu za watu wasio na hatia! Nalazimika kukumbusha kuhusu Chacha Wangwe kwa kuwa amekufa wakati amejiandaa kuja Dar kusema siri nzito dhidi yenu! Najiuliza je,mlimtoa uhai ili asiseme kuhusu haya yanayojiri sasa!? Na kama sivyo mbona mko bize sana kuligawa taifa? Mnatupeleka wapi? Siwaelewi!

Fahamu CHADEMA ni janga la taifa wameishiwa mbinu watawapata wale wajinga wa kufikiri na wavivu wa kufanyakazi wanaofikiri utajiri wataupata wakiwa vijiweni
 
Wajinga wataendelea kujidai wana kumbukizi za kinafki na majungu na dharau sisi wengine tumeshatia timu tarime kwa ajili ya kesho kushiliki zoezi ikiwemo kupanda miti katika baadhi ya shule alizozianzisha kamanda wangwe kuhitimisha kutakuwa na mkutano wa hadhala tarime mjini jioni tutaanzia kijijini alikozikwa kamanda wangwe
 
Salaam!
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.

(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA

Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..

Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.
Ni vizuri ungeuainisha upotoshaji wenyewe kisha wana JF wautafakari kwa kiina Maana wengine hatujausikia upotoshaji wenyewe !
 
Kama kuna siri au Hakuna Siri juu ya marehemu chacha wangwe Mungu ndie anajua tu ! Na kama kuna Jambo la siri na la kweli ndugu rafiki au mtanzania yeyote analihisi lina ukweli alete hapa JF tulipime uzito wake kisha tunamwachia mungu tu
 
Ni muda mrefu sasa umepita tangu tuondokewe na mwanasiasa maarufu aliyetikisa sana ndani ya chama chenu cha Chadema.Kinachonifanya nimkumbuke na niingiwe mashaka na sera zenu,ni namna mnavyokazana kueneza hasira na chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao na polisi.Siasa zenu ni kama zile za enzi za akina Musolin ambao walikuwa radhi kuangamiza bunge zima ili kupata uhalali wa kutawala na kutenda maovu dhidi ya maadui zao kisiasa.Chadema kila kukicha mnakuja na sera za ajabu ajabu! Mara mnaanzisha vikundi vya kujilinda,mara eti mmerushiwa mabomu! (kitu ambacho naamina mnaandaa wenyewe) yote haya kupata huruma ya wananchi na kupata kuungwa mkono kwa kutumia damu za watu wasio na hatia! Nalazimika kukumbusha kuhusu Chacha Wangwe kwa kuwa amekufa wakati amejiandaa kuja Dar kusema siri nzito dhidi yenu! Najiuliza je,mlimtoa uhai ili asiseme kuhusu haya yanayojiri sasa!? Na kama sivyo mbona mko bize sana kuligawa taifa? Mnatupeleka wapi? Siwaelewi!

Mbona ulipokua Chadema hukusema hayo?
 
Ni muda mrefu sasa umepita tangu tuondokewe na mwanasiasa maarufu aliyetikisa sana ndani ya chama chenu cha Chadema.Kinachonifanya nimkumbuke na niingiwe mashaka na sera zenu,ni namna mnavyokazana kueneza hasira na chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao na polisi.Siasa zenu ni kama zile za enzi za akina Musolin ambao walikuwa radhi kuangamiza bunge zima ili kupata uhalali wa kutawala na kutenda maovu dhidi ya maadui zao kisiasa.Chadema kila kukicha mnakuja na sera za ajabu ajabu! Mara mnaanzisha vikundi vya kujilinda,mara eti mmerushiwa mabomu! (kitu ambacho naamina mnaandaa wenyewe) yote haya kupata huruma ya wananchi na kupata kuungwa mkono kwa kutumia damu za watu wasio na hatia! Nalazimika kukumbusha kuhusu Chacha Wangwe kwa kuwa amekufa wakati amejiandaa kuja Dar kusema siri nzito dhidi yenu! Najiuliza je,mlimtoa uhai ili asiseme kuhusu haya yanayojiri sasa!? Na kama sivyo mbona mko bize sana kuligawa taifa? Mnatupeleka wapi? Siwaelewi!

unaonekana una bichwa kuuubwa lkn hoja sisimizi. Eti aje dar kutoa Siri! mdomo aliuacha dar? Alishindwaje kuita press conference dodoma?
 
hakuna upotoshaji hapa ni Freemason Chagawood Ltd ndio wapangaji wa mauaji kisha kutengeneza filamu ya kudanganya umma. siku mkipata madaraka yatakuwa yale ya Kenya watu watapotelea Mt Kilimanjaro na Meru
Ni vizuri ungeuainisha
upotoshaji wenyewe kisha wana JF wautafakari kwa kiina Maana wengine
hatujausikia upotoshaji wenyewe !
 
Salaam!
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.

(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA

Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..

Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.

selasini at work

kamwe tusitetee wahalifu.
kifo cha chacha wangwe (R.I.P) kina utata kimantiki hadi leo. wapenda haki na demokrasia hatuwezi kudanganyika hata siku moja.
 
Ni muda mrefu sasa umepita tangu tuondokewe na mwanasiasa maarufu aliyetikisa sana ndani ya chama chenu cha Chadema.Kinachonifanya nimkumbuke na niingiwe mashaka na sera zenu,ni namna mnavyokazana kueneza hasira na chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao na polisi.Siasa zenu ni kama zile za enzi za akina Musolin ambao walikuwa radhi kuangamiza bunge zima ili kupata uhalali wa kutawala na kutenda maovu dhidi ya maadui zao kisiasa.Chadema kila kukicha mnakuja na sera za ajabu ajabu! Mara mnaanzisha vikundi vya kujilinda,mara eti mmerushiwa mabomu! (kitu ambacho naamina mnaandaa wenyewe) yote haya kupata huruma ya wananchi na kupata kuungwa mkono kwa kutumia damu za watu wasio na hatia! Nalazimika kukumbusha kuhusu Chacha Wangwe kwa kuwa amekufa wakati amejiandaa kuja Dar kusema siri nzito dhidi yenu! Najiuliza je,mlimtoa uhai ili asiseme kuhusu haya yanayojiri sasa!? Na kama sivyo mbona mko bize sana kuligawa taifa? Mnatupeleka wapi? Siwaelewi!

Mkuu heshima kwa makala hii uliyotoa kama ujumbe!!!
 
Uongo na uzushi ndiyo mbinu pekee waliyobaki nayo wajinga popote pale duniani , wenzio walijaribu lakini walishindwa , akiwemo Joji Marato wa itv , do you remember ?
 
Mungu amuweka mahala pema peponi Chacha Wangwe.
Na amlinde kijana mwenzetu Zitto Kabwe na mbinu zote chafu za kummaliza maisha yake.
 
Mafisadi nyie ndio mliomdedisha Kamanda Wangwe! Damu inanuka viganjan mwenu! ----- WEeeee! Ucye jua hata kupambanua nyakati na kuona Watanzania wote Wajinga kama wewe! Mburula weeee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom