Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Salaam!
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.
(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA
Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..
Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.
Mnamo Tarehe 5/03/2012 Mahakama ya Rufani Dodoma ilitoa hukumu ya Rufaa kati ya DEUS MALLYA v/s JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (Criminal Appeal no. 52/2010). Hukumu hiyo iliyopinga maamuzi ya Criminal Appeal no.34/2009 iliondoa Hatia na hukumu zote za awali zilizomtia hatiani Ndg.DEUS MALLYA juu ya makosa aliyoshtakiwa nayo na kutiwa nayo hatiani ambayo yalikuwa ni.
(i) Causing Death throug dangerous Driving
(ii) Driving a motorvehicle without a valid driving licence.
Hukumu hiyo ilitolewa na jopo la Majaji watatu ambao ni.
1.The Honourable Mr. Justice H.R. Nsekela - JA
2.The Honourable Madame Justice N.P. kimaro - JA
3. The Honourable Mr. Justice B.M. Luanda - JA
Kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia wanasiasa uchwara wakiendelea kunasibu tatizo la kifo cha Hayati Wangwe (R.I.P) kwa namna wanavyotaka. Pia vijana wepesi wa hoja na masikini wa kufikiri wamekuwa wakitumia msiba ule hadi leo kwa mambo ya hovyo hovyo!..
Ni busara kama mtu akikosa cha kuandika ajisomee vitabu au alale badala ya kuendelea na upotoshaji usiokubalika katika jamii ya kistaarabu.