BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Angalizo tu
wale wapenzi wa maziwa kuna maziwa yana expire 7march tsn supermarket nimepita leo naona yemsheehni mengi tu si mbaya muda bado ila nawaasa muwe makini maziwa hayo aina ya lacnor rangi ya nyeupe na kijani nyuma yameandikwa kiarabu naomba tuwe makini tunaponunua vitu super market mtakufa kabla ya vifo vyenu
sisemi kwa nia mbaya jumamosi jana nimepita supermarket iliopo sinza inaitwa fish supermarket ipo mapambano kununua pepsi light nilipofika nikaangalia nyuma nikiwa najiandaa kwenda kuuliza iweje zime expire toka january ziko humu hatari ndugu gafla nikaona mwanaume mmoja ameingia kwenye fridge na kuanza kuzitoa zoote hongera hope awatazirudisha ama kuwapa watu kwenye harusi ......
Sina nia mbaya ni muhimu tujali afya zetu
tukutane taifa tadhali
chagua ushindi chagua simba scc
wale wapenzi wa maziwa kuna maziwa yana expire 7march tsn supermarket nimepita leo naona yemsheehni mengi tu si mbaya muda bado ila nawaasa muwe makini maziwa hayo aina ya lacnor rangi ya nyeupe na kijani nyuma yameandikwa kiarabu naomba tuwe makini tunaponunua vitu super market mtakufa kabla ya vifo vyenu
sisemi kwa nia mbaya jumamosi jana nimepita supermarket iliopo sinza inaitwa fish supermarket ipo mapambano kununua pepsi light nilipofika nikaangalia nyuma nikiwa najiandaa kwenda kuuliza iweje zime expire toka january ziko humu hatari ndugu gafla nikaona mwanaume mmoja ameingia kwenye fridge na kuanza kuzitoa zoote hongera hope awatazirudisha ama kuwapa watu kwenye harusi ......
Sina nia mbaya ni muhimu tujali afya zetu
tukutane taifa tadhali
chagua ushindi chagua simba scc