Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,046
- 1,867
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kutusaidia kujua simu za kweli na uongo,mimi kuna mtu kuniuzia note 3 ukiiwasha ina display neno SM 900 NOTE 3 je ni kweli ni note 3?inawezekana ndio ila si halali kisheria TCRA wameshatangaza ukikamatwa fine milioni 10