Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,319
- 17,474
Watu wengi huwa wanajaribu kuunga mkono suala la kutoa mimba pale ambapo wahusika hawakupanga kupata mtoto. Wengine hutetea kitendo hicho eti kama msichana akibakwa basi anahaki ya kutoa. Kuna wanaosema mwanamke anahaki ya kufanya chochote kwasababu huo ni mwili wake. Je hii ni sawa?
Kunabaadhi wanapinga kutoa mimba miezi ya mwisho (baada ya wiki ya ishirini) lakini wanakubali kutoa wakati wa wiki za mwanzoni eti sababu hawaui binadamu bali vijiseli. Jee hii ni kweli?
Dedicated to all babies who were murdered, Amen
Kunabaadhi wanapinga kutoa mimba miezi ya mwisho (baada ya wiki ya ishirini) lakini wanakubali kutoa wakati wa wiki za mwanzoni eti sababu hawaui binadamu bali vijiseli. Jee hii ni kweli?
Dedicated to all babies who were murdered, Amen
Last edited by a moderator: