kila nikiingia napata security warning:site is unsafe....rekebisha mambo bado hujamaliza!
Tumetest na antivirus zote, na halina matatizo. Umeclear cache yako pamoja na temporary internet files?
kila nikiingia napata security warning:site is unsafe....rekebisha mambo bado hujamaliza!
kila nikiingia napata security warning:site is unsafe....rekebisha mambo bado hujamaliza!
Kwakuwa tangazo lenyewe nililitoa mimi basi naomba niseme kuwa nimei-scan site kwa sasa iko clean.
Mkuu Bongo5, pole kwa masaibu hayo na mmefanya vema kurekebisha hali.